• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Wanafunzi wapatiwe chakula shuleni- Mtambi

Posted on: May 6th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe.Kanali Evans Alfred Mtambi amesisitiza utoaji wa chakula cha mchana shuleni kwa kila mwanafunzi, huku wananchi wakiambiwa wahakikishe hilo linafanyika, shabaha ni kuongeza ufaulu na kuondoa utoro wa wanafunzi shuleni.

Haya yamesemwa Aprili 30, 2025 katika viwanja vya Mkendo Manispaa ya Musoma ambapo Kanali Mtambi alikuwa akikabidhi madawati kadhaa kwa shule za msingi na sekondari.

“Nawakumbukusha suala la chakula cha mchana mashuleni, angalau mlo mmoja, hili suala halikwepeki, hili ni lazima kwa wana Mara wote, nawaombeni tuhakikishe chakula cha mchana kinachangiwa na kila mzazi/ mlezi mwenye mtoto shuleni kwetu.

Ninaomba nisisikie ubadhilifu wa chakula hicho, ninasema wazi sitomvumilia mtu yoyote atakayefanya ubadhilifu wa chakula cha wanafunzi shuleni.”

Kanali Mtambi alisisitiza Halmashauri zote za Mkoa wa Mara kuhakikisha zinakamilisha kutengeneza madawati yaliyopungua na wanafunzi wa Mkoa wa Mara ni mwiko kukaa chini.

“Tangu jana nilikuwa na vikao na viongozi wezangu juu suala hili hili, nasisitiza kuwa hakuna mtu atakayevumiliwa kwa uzembe huu na ndiyo maana leo nimekuja kukabidhi madawati haya yaliyotengenezwa na wadau mbalimbali” amesema Mhe. Mtambi

Awali akisoma taarifa ya Manispaa ya Musoma Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Musoma Mwalimu Bakari Sagini alisema kuwa Manispaa ina shule 65 ambapo shule za msingi ni shule za sekondari ni 21.

Bwana Sagini ameeleza kuwa shule hizo zina wanafunzi 55,764 ambapo wanafunzi wa shule za msingi ni 38,212 na wanafunzi wa shule za sekondari ni 17,552 na Manispaa ya Musoma ina upungufu wa madawati 4,406.

 “Tunamshukuru Mbunge wa Musoma Mjini Mhe. Vedasto Mathayo na wadau wengine kwa kufanikisha zoezi hili ambalo litapunguza changamoto ya madawati katika Manispaa ya Musoma” amesema Bwana Sagini.

Hafla ya kukabidhi madawati imehudhuliwa na viongozi kadhaa wa Chama na Serikali, huku wanafunzi wa shule zinazopokea madawati hayo walikuwepo.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • RC atoa siku 14 wanafunzi wote Sekondari ya J. K. Nyerere wapate chakula shuleni

    July 28, 2025
  • Kusaya apokea ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Butiama

    July 25, 2025
  • Mtambi ataka matumizi ya GOTHOMIS kwa asilimia 100 Mara

    July 25, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.