• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Simbachawene apongeza usimamizi wa miradi Tarime

Posted on: October 8th, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Boniface Simbachawene leo tarehe 2 Oktoba, 2024 amefanya ziara katika Wilaya ya Tarime ambapo ameipongeza Wilaya ya Tarime kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.

Mhe. Simbachawene ametoa pongezi hiyo baada ya kuzindua Shule ya Msingi Komote na mradi wa maji katika Kijiji cha Kemakorere na kuridhika na utekelezaji wa miradi hiyo.

“Hapa katika shule hii, shilingi milioni 540 zilizotumika zinaonekana kwa macho ya kila mtu, awali nilijua ni shule ya sekondari kumbe ni shule ya msingi” amesema Mhe. Simbachawene na kuipongeza Serikali kwa maamuzi yake ambayo yamepunguza msongamano wa wanafunzi katika Shule ya Msingi Nkende.

Mhe. Simbachawene ameipongeza Serikali kwa kujenga shule mpya katika eneo hilo na kuongeza kuwa hapo awali, isingekuwa rahisi kwa Serikali kutoa fedha zote za kujenga shule mpya kwa mara moja kutokana na bajeti iliyokuwa inatengwa, lakini kwa awamu ya sita inawezekana.

Akizungumzia kuhusu mradi wa maji wa Kemakorere Mhe. Simbachawene ameipongeza Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) kwa mradi huo ambao unatoa huduma ya maji kwa wananchi wa eneo hilo.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Mhe. Daniel Komote ameishukuru Serikali kwa kujenga shule hiyo nay eye kama Diwani wa Kata hiyo aliwahamasisha  wananchi ambao wamechangia baadhi ya shughuli katika kuingiza maji, umeme na kulima barabara ya kuingilia katika shule hiyo.

Mhe. Komote amesema wananchi pia wanachangia chakula cha wanafunzi shuleni na wanafunzi wote wa shule hiyo wanakula shuleni na kuwalipa walimu sita wanaojitolea katika shule hiyo kutokana na upungufu wa walimu.

Mhe. Komote amesema kutokana na mwanzo mzuri katika ushirikiano wa wazazi, walimu na wanafunzi wa shule hiyo, anategemea shule hiyo itafanya vizuri kutokana na msingi mzuri uiojengeka baada ya kuanzishwa kwake.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.