• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC Nawanda Mgeni Rasmi NANENANE Kanda ya Ziwa Mashariki

Posted on: August 7th, 2022

RC SIMIYU MGENI RASMI NANENANE KANDA YA ZIWA MASHARIKI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mheshimiwa Dokta Yahya Nawanda kesho anatarajia kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya wakulima (NANENANE) Kanda ya Ziwa Mashariki katika viwanja vya Nyakabidi, Bariadi Mkoa wa Simiyu.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Kamati ya Maandalizi ya maadhimisho hayo, shughuli katika uwanja wa maonyesho zitaanza saa mbili kamili asubuhi kwa wageni waalikwa kuanza kuwasili katika viwanja vya Nyakabindi.

Ratiba hiyo inaonyesha kuwa Mheshimiwa Nawanda akiambatana na wakuu wa mikoa wa Kanda ya Ziwa Mashariki na viongozi wengine, atatembelea mabanda ya maonyesho kuanzia saa 6.20 na baadaye kuwahutubia wananchi wa Kanda ya Ziwa Mashariki katika viwanja vya Nyakabindi.

Wakati huo huo, Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee kesho atakagua mabanda ya Halmashauri zote za Mkoa wa Mara kabla ya Mgeni Rasmi kupita katika mabanda hayo.

Ratiba iliyotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Mzee atakagua mabanda hayo kuanzia saa tatu na nusu asubuhi akiambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara na Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Msalika Robert Makungu leo amekagua mabanda ya maonyesho ya Halmashauri zote tisa za Mkoa wa Mara.

Akiwa katika mabanda hayo, Katibu Tawala aliambatana na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara pamoja na viongozi wa Halmashari za Mkoa wa Mara.

Mikoa mitatu inayounda Kanda ya Ziwa Mashariki ni Mara, Shinyanga na Simiyu ambao ndio mwenyeji wa maadhimisho hayo yanayofanyika katika eneo la Nyakabidi, wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu.  

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.