• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC Mtanda aanza ziara kukagua miradi

Posted on: September 19th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo ameanza ziara katika Mkoa wa Mara kukagua miradi inayotekelezwa katika sekta za Elimu na Afya na kuwataka wafanyakazi na wananchi kufanyakazi kwa bidii.

Mhe. Mtanda ametoa kauli hiyo katika miradi mbalimbali aliyoitembelea katika Manispaa ya Musoma ambapo amesema bila kujituma katika kufanya kazi kwa bidii hamna mafanikio.

“Vitabu vyote vya dini vinahimiza watu kujituma katika kufanyakazi, rai yangu tufanyekazi kwa bidii na maarifa ili hata ukikosa mafanikio, juhudi yako katika kazi itaonekana” amesema Mhe. Mtanda.

Mheshimiwa Mtanda amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Musoma kukamilisha ujenzi wa miradi ya elimu kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma katika miradi hiyo.

Aidha, baada ya kupewa taarifa za changamoto mbalimbali zinazoikabili Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Mhe. Mtanda ameahidi kufuatilia suala la upatikanaji wa umeme wa uhakika na ukamilishaji wa ujenzi wa hospitali hiyo Wizara ya Afya.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa ametembelea mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu (two in one) katika Shule ya Sekondari Kigera Mwinyale, ujenzi wa vyumba vya madarasa na mabweni katika Shule ya Sekondari ya Ufundi Musoma, ujenzi wa shule mpya katika eneo la Bweri Bukoba.

Aidha, katika ziara hiyo amekagua, kupanda miti na kuzungumza na wafanyakazi na wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (Kwangwa).

 Kesho Mkuu wa Mkoa ataendelea na ziara yake katika Wilaya ya Bunda ambapo atatembelea shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mara, Shule ya Sekondari ya Kasuguti, Shule ya Sekondari ya Mariwanda na Shule ya Sekondari ya Bunda Mjini.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.