• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC Mara awapongeza Walimu Matokeo Kidato cha Sita 2023

Posted on: July 24th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo amewapongeza walimu na wanafunzi waliohitimu kidato cha sita mwaka 2023 katika Mkoa wa Mara kwa kufanikisha ufaulu wa wanafunzi kwa asilimia 100.  

Mhe. Mtanda ametoa pongezi hizo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake kuhusiana na matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) hivi karibuni.

“Ninawapongeza sana walimu, wanafunzi, wasimamizi wa sekta ya elimu na wale wote waliohusika kwa kufanikisha wanafunzi wote 3091 waliofanya mtihani huo kufaulu na Mkoa kupata ufaulu wa asilimia 100” amesema Mhe. Mtanda.

Mhe. Mtanda ameeleza kuwa ufaulu wa Mkoa wa Mara umepanda kwa asilimia 0.9 kutoka ufaulu wa asilimia 99.1 kwa mtihani wa kidato cha sita mwaka 2022.

Aidha Mhe. Mtanda ameipongeza Shule ya Sekondari ya Tarime iliyopo katika Mji wa Tarime ambayo watahiniwa wake 357 kati ya 498 waliofanya mtihani katika shule hiyo mefaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza, 130 wamefaulu kwa daraja la pili na watahiniwa 11 wakiwa wamepata daraja la tatu.

“Shule hii imeongoza Kitaifa kuwa na wanafunzi wengi wa shule moja waliopata ufaulu wa daraja la kwanza katika tahasusi mbalimbali” amesema Mhe. Mtanda.

Aidha, amezipongeza Shule za Sekondari za Natta na Bunda kwa kuingia katika kumi bora kitaifa kwenye makundi yao katika matokeo ya mtihani huo.

Katika mtihani wa Taifa wa kidato cha sita mwaka 2023, wanafunzi 3,106 walidahiriwa kufanya mtihani wa kidato cha sita katika Mkoa wa Mara, wanafunzi 3091 walifanya mtihani na wanafunzi 15 hawakufanya mtihani kutokana na sababu mbalimbali.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.