• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC Mara ampokea DC Bunda

Posted on: February 27th, 2025

Adeladius Makwega-Musoma MARA

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo amempokea rasmi Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Aswege Enock Kaminyoge aliyefika kurepoti leo baada ya kuhamishiwa akitokea Wilaya ya Maswa na kumtaka kusimamia amani na utulivu na hususan mwaka huu wa uchaguzi Mkuu.

Mhe. Mtambi amesema wakati wa uchaguzi wako baadhi ya watu wanapenda kuanzisha chochochoko na kuongeza kuwa Mkoa wa Mara hautaruhusu mtu yoyote aichezee amani na utulivu uliopo kwa sasa.

“Shabaha yetu ni kujenga uchumi wa Mkoa na hususan kwa ajili ya wananchi wanaoishi katika Mkoa wa Mara ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali zilizopo katika Mkoa na hayo yatafanikiwa tu endapo amani na utulivu vitaendelea kutawala” amesema Mhe. Mtambi. 

Mhe. Mtambi amewataka Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Mara kuwa makini na  homa za kisiasa zinazoweza kuvuruga amani na utulivu uliopo na kuutoa Mkoa kwenye adhma yake ya kukuza uchumi wa wananchi wake.

Kanali Mtambi amewataka Wakuu wa Wilaya kuhakikisha wananchi wapo salama na wanaendelea kufanya shughuli zao kama kawaida na wanasiasa wanafanya siasa zao kama kawaida kwa amani na utulivu kwa kuzingatia Sheria, kanuni na miongozo ya Serikali. 

“Pale Bunda Mji tuna madini na wananchi wapo kazini wakichimba madini yaliyogundulika katika eneo hilo na wajibu wetu kama Serikali ni kuwawekea mazingira wachimbaji hao wadogo waweze kufanya shughuli zao na kulipa kodi zinazohitajika kwa Serikali” amesema Mhe. Mtambi.

Akizungumza katika mapokezi mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe.Kaminyoge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini.

Mhe. Kaminyonge amesema atatekeleza maagizo aliyompatia kwa nguvu na moyo wote na kuwaomba wananchi wa Wilaya ya Bunda wampokea na kumpatia ushirikiano.

Kwa upande wake, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vincent Naano Anney amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Mtambi kwa kufanya naye kazi vizuri kwa kipindi chote akiwa Bunda na kuahidi kufanya kazi kwa vizuri akiwa Maswa kwa maslahi mapana ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.