• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC azindua Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara

Posted on: April 19th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi leo tarehe 19 Aprili 2022 amezindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara.

Akizundua Bodi hiyo, Mheshimiwa Hapi amewataka wajumbe wa bodi hiyo kuwatendea haki wananchi kwa kutoa ushauri mzuri kuhusiana na usimamizi na uendeshaji wa hospitali hiyo kwa Menejimenti ya Hospitali na kwa Serikali.

“Katika hospitali zetu, kuna tatizo la udhibiti mbovu wa dawa na hivyo kusababisha wizi wa dawa katika hospitali nyingi za umma, ninaomba mkalisimamie ili lisitokee katika Mkoa wa Mara na kama lilikuwepo basi liwe historia” alisema Mheshimiwa Hapi.

Aidha ameitaka bodi hiyo kusimamia mapato na matumizi ya Hospitali hiyo na kuhakikisha kuwa mapato yote yanakusanywa kupitia mfumo wa mapato ya hospitali (GoTHOMIS) wakati wote wa kutoa huduma za hospitali.

Mheshimiwa Hapi ameagiza bodi hiyo kusimamia ujenzi unaoendelea katika hospitali hiyo ili ukamilike na hospitali hiyo iweze kuhamia katika eneo la Kwangwa.

Mkuu wa Mkoa ameiahidi bodi hiyo ushirikiano kutoka kwa viongozi wote wa Mkoa wa Mara katika kutekeleza majukumu yao.  

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi hiyo Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma, Michael Msoganzila amewataka wajumbe kushirikiana katika kutimiza majukumu ya bodi hiyo.

Bwana Mloganzila amewapongeza wajumbe wapya kwa kuteuliwa na wale waliomaliza muda wao kwa kazi nzuri waliyoifanya wakati wote wakiwa wajumbe wa bodi hiyo.

Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara ina wajumbe 11 ambao wanatoka katika taasisi mbalimbali na wenye utaalamu mbalimbali na wanaoteuliwa kwa muda wa miaka mitatu mitatu.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.