• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC awataka watendaji kuongeza ufanisi

Posted on: June 6th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima amewataka watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao na kujali maendeleo ya wananchi wa Bunda katika utekelezaji wa majukumu yao.

Mheshimiwa Malima ametoa kauli hiyo leo tarehe 5 Juni 2020 wakati wa kikao maalumu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kwa ajili ya kujadili hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

“Hoja hizi nyingi za CAG ni matokeo ya utendaji mbaya wa kutokuzingatia sheria na kanuni mbalimbali na zinapokuwa zinajirudia mara nyingi ineleta shida kuwaelewa watendaji” alisema Mheshimiwa Malima.

Aidha amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara kuhakikisha mapendekezo ya CAG kuhusiana na kitengo cha Ukaguzi wa Ndani yanafanyiwa kazi ikiwa ni pamoja na kuongeza watumishi, bajeti na idara kupatiwa gari kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake.

Mheshimiwa Malima amemtaka Mkurugenzi na watendaji wote kuzingatia kanuni za fedha na sheria nyingine katika utekelezaji wa majukumu yao.

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda katika taarifa ya CAG ya mwaka 2018/2019 imepata hati safi. Hata hivyo ina hoja 109 ambapo kati yake hoja 73 za miaka ya nyuma kuanzia mwaka wa fedha 2012/2013 na hoja mpya 36 za mwaka wa fedha 2018/2019.

Kati ya hoja hizi, hoja nyingi zimejibiwa na nyingine utekelezaji wake uko katika hatua mbalimbali.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.