• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC atembelea Mgodi wa Dhahabu wa Matongo

Posted on: September 13th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee leo tarehe 7 Septemba 2022 ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Matongo yaani Matongo Gold Mines uliopo katika eneo la Nyamongo katika Wilaya ya Tarime.

Akiwa katika Mgodi huo, Mheshimiwa Mzee alipokea taarifa ya maendeleo ya mgodi huo na kukagua eneo la mgodi huo na kuwashauri kuhusu namna bora ya kuanza uchimbaji katika eneo hilo.

Mheshimiwa Mzee amewataka wawekezaji wa mgodi huo kutoa taarifa kama watakwama katika kukamilisha upatikanaji wa vibali muhimu ili uchimbaji wa madini katika mgodi huo uweze kuanza kwa haraka.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mgodi wa Dhahabu wa Matongo Bwana William Samson ameeleza kuwa mgodi huo ulianza mwaka 2019 baada ya kupatiwa lesseni 10 za uchimbaji mdogo kwa jina la mtu binafsi baadaye iliundwa kampuni na kubadilisha umiliki wa lesseni hizo kuwa wa kampuni.

Bwana Samson ameeleza kuwa mpaka sasa mgodi huo haujaanza uchimbaji ukisubiria vibali kutoka Baraza la Taifa la Mzingira (NEMC) kilichoombwa hivi karibuni na mitambo kutoka kwa mbia wao nje ya nchi.

Ameeleza kuwa tayari mgodi huo umeanza kulipa fidia kwa wananchi waliokuwepo katika eneo hilo ambapo watu 30 waliokuwa na nyumba, mashamba au viwanja wameshalipwa zaidi ya shilingi milioni 300.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Mara aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Tarime, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mara na maafisa wengine kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Halmashauri ya Wilaya ya Tarime na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mara.   

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.