• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC ataka Ukaguzi wa Ndani uimarishwe Bunda TC

Posted on: July 22nd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara kuimarisha Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ili kuweza kumsaidia Mkurugenzi kuisimamia halmashauri hiyo.

Mkuu wa Mkoa ametoa agizo hilo leo tarehe 14 Julai, 2022 katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za mwaka wa fedha 2020/2021.

“Hiki kitengo kwa sasa kina mtumishi mmoja tu, hakina gari la kufanyia shughuli za kitengo hicho hivyo kama CAG alivyoelekeza, kitengo hiki kiimarishwe haraka” alisema Mheshimiwa Hapi.

Aidha ameagiza kuongeza watumishi katika Kitengo cha Manunuzi ambacho ikama inataka kiwe na watumishi 6 lakini kwa sasa kitengo hicho kina watumishi wa wawili tu.

Mheshimiwa Hapi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kukusanya kwa asilimia 105 ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha wa 2021/2022 pamoja na kupata hati safi katika ukaguzi wa mwaka wa fedha 2020/2021.

Aidha ameitaka Halmashauri hiyo kukamilisha miradi yote ya muda mrefu kabla ya kuanzisha miradi mipya ili kuleta matumaini kwa wananchi wa Halmashauri hiyo.    

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bwana Emanuel Mkongo ameeleza kuwa katika ukaguzi wa CAG kwa mwaka wa fedha 2020/2021, Halmashauri imepata hati safi.

Hata hivyo Bwana Mkongo ameeleza kuwa Halmashauri hiyo ilikuwa na hoja za miaka ya nyuma 22 kati ya hizo hoja 09 zimehakikiwa na kufungwa, hoja 05 zinajirudia rudia, hoja 08 zipo kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji.

Bwana Mkongo ameeleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2020/2021 Halmashauri ilikuwa na hoja 28, kati ya hoja hizo 12 zimefungwa, hoja 02 zimepitwa na wakati na hoja 14 zipo kwenye hatua za utekelezaji.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.