• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC ataka ufanisi katika usimamizi wa madarasa mapya

Posted on: October 16th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee leo tarehe 12 Oktoba, 2022 amefanya kikao na Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri pamoja na baadhi ya Wakuu wa Idara za Halmashauri kwa lengo la kutoa maelekezo kuhusiana na masuala mbalimbali.

Akizungumza katika kikao hicho, Mheshimiwa Mzee amewataka viongozi wa Wilaya kuzisimamia Halmashauri zao ili pesa za ujenzi wa vyumba vya madarasa zilizopokelewa ziweze kujenga vyumba hivyo kwa ubora na kwa wakati.

“Mimi ninatoa siku 60 tu vyumba vya madarasa viwe vimekamilika na nitakapokuja kukagua nitagombana na viongozi kama mambo hayajaenda vizuri sio watendaji wa chini” alisema Mheshimiwa Mzee.

Mheshimiwa Mzee amewataka viongozi wa Wilaya na Halmashauri kutimiza wajibu wao kwa Taifa na wananchi wa Mkoa wa Mara ili kuleta matokeo yanayohitajika na sio kusubiri kusukumana.

Akitoa taarifa katika mkutano huo, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi, Elimu Bwana Ahidi Jailosi Sinene ameeleza kuwa Mkoa wa Mara umepokea jumla ya shilingi bilioni 10.920 katika akaunti za shule 144 za Sekondari kwa ajili ya kujenga vyumba vya madarasa 546.

Bwana Sinene ameeleza kuwa ujenzi wa vyumba vya madarasa hayo ni sehemu ya matayarisho ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Januari, 2023.

Katika mgao wa vyumba hivyo, Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti imepata vyumba 58 (1,160,000,000), Halmashauri ya Mji wa Bunda vyumba 77 (1,540,000,000), Halmashauri ya Wilaya ya Bunda vyumba 102 (2,040,000,000) na Halmashauri ya Wilaya ya Butiama vyumba 77 (1,540,000,000).

Aidha, Halmashauri ya Wilaya ya Tarime vyumba 23 (460,000,000), Halmashauri ya Mji wa Tarime vyumba 41 (820,000,000), Halmashauri ya Wilaya ya Rorya vyumba 66 (1,320,000,000), Manispaa ya Musoma vyumba 67 (1,340,000,000) na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma vyumba 35 (700,000,000).

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.