• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC apongeza utulivu Tarime TC

Posted on: July 22nd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Tarime kwa utulivu wa madiwani na wataalamu wa Halmashauri hiyo jambo ambalo linachochea utekelezaji wa haraka wa miradi ya maendeleo.

Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali leo tarehe 13 Julai, 2022, Mheshimiwa Hapi ameeleza kuwa utulivu wa Halmashauri hii unasababisha iweze kupata maendeleo kwa haraka.

“Ninawapongeza sana kwa utulivu, hiyo ndio siasa safi, endeleeni kuwa wamoja na kuwasimamia wataalamu ili wafanye kazi zao kwa uadilifu” alisema Mheshimiwa Hapi.

Mheshimiwa Hapi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kuongeza makusanyo ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2021/2022 na kufikia asilimia 97 hata baada ya kuongeza lengo la makusanyo hayo katikati ya mwaka huo wa fedha.

Mheshimiwa Hapi pia ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi kwa miaka 07 mfululizo na kuwataka wapunguze hoja za CAG ambazo zinaweza kuzuilika.

Aidha Mheshimiwa Hapi amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara kuongeza watumishi katika vitengo vya Ukaguzi wa Ndani na Manunuzi ili kuimarisha utendaji kazi wa vitengo hivyo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri bibi Gimbana Emanuel Ntavyo ameeleza kuwa Halmashauri ya Mji wa Tarime ilikuwa na jumla ya hoja 47 ambapo 20 zimejibiwa na kufungwa na 27 ziko katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

Bibi Ntavyo ameeleza kuw akati ya hoja hizo, hoja za nyuma 21 ambazo kati yake 09 zimefungwa na hoja 12 zipo katika utekelezaji wakati kati ya hoja mpya 26 hoja 11 zimefungwa na hoja 15 zipo katika hatua mbalimbali katika utekelezaji.

 Bibi Ntavyo ameeleza kuwa Halmashauri hiyo ilikuwa na maagizo 08 ya Kamati ya Kudumu ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na kati yake agizo moja limefungwa na maagizo mengine 07 yanaendelea kutekelezwa.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.