• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC aipokea KAmati ya Bunge ya Nishati na Madini

Posted on: February 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda ameipokea na kuzungumza na Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini iliyopo katika ziara ya kikazi katika Mkoa wa Mara.

Akizungumza katika mkutano huo, Mhe. Mtanda ameleza kuwa Mkoa wa Mara unazalisha madini mengi na ni Mkoa wa Pili Tanzania katika uzalishaji wa dhahabu.

“Tuna migodi kila wilaya ya wachimbaji wa kati na wachimbaji wadogo na uchumi wa Mkoa unategemea kwa kiwango kikubwa shughuli za uchimbaji wa madini na utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti” amesema Mhe. Mtanda.

Mhe. Mtanda ameiomba Wizara kuangalia uwezekano wa kuileta Kamati hiyo wakati mwingine kutembelea migodi ya wachimbaji wadogo ili kuweza kupata picha halisi za uchimbaji wa madini na changamoto za wachimbaji wadogo wa madini katika Mkoa wa Mara.  

Aidha, Mhe. Mtanda ameipongeza ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mara kwa ushirikiano anaoutoa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara na viongozi wengine katika utekelezaji wa majukumu yake.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. David Mathayo David, ambaye pia ni mbunge wa Same Magharibi, ameshukuru kwa mapokezi mazuri ya kamati na kuahidi kuutembelea tena Mkoa wa Mara wakati mwingine.

Mhe. Mathayo ameeleza kuwa lengo la ziara hiyo ni kutembelea Mgodi wa Dhahabu wa North Mara uliopo katika eneo la Nyamongo, Wilaya ya Tarime.  

Kamati hiyo imeambatana na Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa, Maafisa wa Wizara ya Madini na maafisa kutoka Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.   

Viongozi wengine waliokuwepo katika mapokezi hayo ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara na Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Mara.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.