• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC afanya ziara Wilaya ya Bunda

Posted on: August 18th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee leo tarehe 17 Agosti, 2022 ametembelea katika wilaya ya Bunda katika mwendelezo wa ziara yake ya kujitambulisha.

Akiwa Bunda, ameiagiza Halmashauri ya Mji wa Bunda kuhakikisha kuwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji inayoanza kujengwa sasa isimamiwe vizuri kwa kufuata matakwa ya kiuhandisi na kwa ubora ili iweze kuwa ya mfano.

“Ninataka hospitali hii niifuatilie, ikidhi matakwa yote ya kiuhandisi na ubora na ikamilike kwa wakati ili tupate miradi ya mfano katika Mkoa wa Mara” alisema Mheshimiwa Mzee.

Aidha, Mheshimiwa Mzee ameaigiza Halmshauri ya Mji wa Bunda kupanda miti kulingana na mpango wa matumizi ya ardhi wa eneo hilo, kusawazisha eneo hilo na kuhakikisha mahitaji yote ya kiutaalamu ya eneo la ujenzi yapo.

Mheshimiwa Mzee amewaagiza viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Mji wa Bunda kufuatilia hatua zote za utekelezaji wa mradi huo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bwana Emmanuel Mkongo ameeleza kuwa ujenzi wa mradi huo ulianza Juni, 2022 hata hivyo baadaye waligundua tofali zilikuwa chini ya kiwango na kuanza ujenzi upya.

Bwana Mkongo ameeleza kuwa ujenzi huo umepangwa kukamilishwa ndani ya miezi minne na kwa sasa vifaa vyote vya ujenzi wa mradi huo vimeshanunuliwa.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa alitembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bunda Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Mkuu wa Mkoa aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa Bwana Msalika Robert Makungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Bunda, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Afya Dkt. Juma Mfanga, viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Bund ana Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.  

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.