• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Pongezi kwa Sekta ya Afya

Posted on: July 27th, 2020

Katibu Tawala Mkoa wa Mara Bibi Karolina Mthapula amewapongeza watumishi wote wa sekta ya Afya wa Mkoa wa Mara kwa kazi nzuri wanayoifanya hususan katika udhibiti wa janga la Corona.

Bibi Mthapula ameeleza hayo leo tarehe 25 Julai 2020 katika mji wa Tarime wakati akifunga mafunzo ya timu ya usimamizi wa huduma za afya katika Mkoa wa Mara yaliyotolewa kwa ushirikiano na Shirika la Misaada ya Maendeleo la Marekani (USAID) Boresha Afya.

“Pamoja na Mkoa wetu kuwa mpakani lakini kutokana na kazi kubwa mliyoifanya, Mkoa wa Mara hatukupata kabisa wagonjwa kutokea nchi jirani ambazo nyingi zimeathirika zaidi.

Hata hivyo amewataka wataalamu wa afya kuendelea kuhamasisha kuhusiana na tahadhari za kujikinga na Corona kwani watu wameanza kuacha kuchukua tahadhari.

Aidha amewapongeza wataalamu wa afya kwa usimamizi wa ujenzi wa hospitali na vituo vya afya katika Mkoa wa Mara ambavyo vimejengwa katika Mkoa wa Mara katika kipindi hiki cha awamu ya tano.

“Ninawaomba wale ambao wanavituo au hospitali ambazo hazijaanza kutoa huduma waanze mapema iwezekanavyo ili wananchi waweze kupata huduma zilizokusudiwa” alisema Bibi Mthapula.

Aidha amewataka wataalamu hao kujiandaa na kuziba pengo litakalobakia baada ya mradi huo Boresha Afya kukamilisha shughuli zake mwaka 2021.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mara Dkt. Florian Tinuga amemshukuru Katibu Tawala kwa kuweza kuhudhuria sehemu ya mafunzo hayo pamoja na kuyafunga rasmi.

Aidha amewataka Waganga wa Halmashauri kukamilisha miradi mbalimbali ya ujenzi wa vituo vya afya na hospitali kama walivyoahidi ili kuweza kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

“Hamna maana kwa serikali kutoa fedha kujenga vituo hivi kama wananchi hawapati huduma za afya kama ilivyokusudiwa” alisema Dkt. Tinuga.

 

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.