• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mwenge wa Uhuru wakamilisha Mbio zake Mara

Posted on: June 27th, 2021

Mwenge wa Uhuru leo tarehe 27 Juni 2021 umekamilisha mbio zake katika Mkoa wa Mara kwa kuhitimisha mbio zake katika Wilaya ya Bunda.

Kwa sasa Mwenge wa Uhuru leo ikiwa ni siku ya mwisho kuwa Mkoani Mara unaendelea na mkesha unaofanyika katika Chuo cha Ualimu Bunda.

Akizungumza baada ya chakula cha jioni Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Maalum mwaka 2021 Lt. Josephine Paul Mwambashi ameshukuru kwa mapokezi na ushirikiano walioupata wakiwa katika Mkoa wa Mara.

“Tumepata ushirikiano kutoka kwa viongozi na wananchi ambao umerahisisha ukaguzi wa miradi na mbio za mwenge kwenda vizuri bila tatizo lolote” alisema Mwambashi.

Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Wilaya ya Bunda, umepokelewa katika stendi ya mabasi ya Nyamswa na baada ya hapo ukatembelea mradi wa ukusanyaji wa mapato katika vituo vya kutolea huduma za afya (GOTHOMIS) katika Kituo cha Afya Ikizu na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa madarasa mawili katika Shule ya Sekondari ya Hunyari.

Aidha Mwenge wa Uhuru umetembelea mradi wa maji wa Kihumbu na umetembelea na kukagua Jukwaa la kielektroniki wa utoaji wa huduma za ugani na masoko kwa wakulima (M-Kilimo) na mfumo wa malipo ya mauzo ya pamba kwa njia ya kielektroniki.

Mwenge wa uhuru pia umeweka jiwe la msingi katika mradi wa Zahanati ya Mary Imaculate uliopo katika eneo la Bunda Stoo, umetembelea mradi wa ujasiliamali wa vijana wa utengenezaji mapambo na mikoba, umezindua mradi wa kiwanda cha tofali cha Halmashauri ya Mji wa Bunda na kutembelea mradi wa ukarabati wa Chuo cha Ualimu Bunda.

Kesho tarehe 28 Juni 2021 asubuhi Mwenge wa  Uhuru unatarajiwa kukabidhiwa katika Mkoa wa Simiyu tayari kwa kuendelea na mbio zake mkoani humo.

Mwenge wa Uhuru uliwashwa tarehe 17 Mei 2021 katika Mkoa wa Kusini Unguja na unatarajiwa kukamilisha mbio zake katika Wilaya ya Chato Mkoani Geita tarehe 14 Oktoba 2021.   

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.