• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mtanda azindua Kliniki ya Ardhi Mara

Posted on: November 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo tarehe 21 Novemba, 2023 amezindua kliniki ya kusikiliza kero mbalimbali za ardhi Mkoa wa Mara katika uwanja wa Mkendo, Manispaa ya Musoma na kuwataka wananchi kutumia fursa hiyo kutoa kero zao.

Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Mhe. Mtanda ameeleza kuwa wananchi wakitumia fursa hiyo vizuri wataweza kutatua changamoto zinazowakabili katika masuala ya ardhi.

Mhe. Mtanda pia amewakemea watu wanaofanya usanii katika migogoro ya ardhi na kusubiri kujitokeza wakati wanapokuja viongozi wa kitaifa katika Mkoa wa Mara kutoa kero zao, lakini Serikali ya Mkoa inapotoa fursa hawajitokezi.

“Kama wewe ni kweli una kero, unakaa nayo muda mrefu, tunakuita hapa bure hutokei, unasubiri ziara za viongozi, wewe ni msanii na sisi tunajua namna ya kufanyakazi na wasanii” amesema Mhe. Mtanda.

Mhe. Mtanda ameitaka Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Mara kuandaa rejesta ya migogoro ili inapotatuliwa iwe inafahamika kwa watendaji na viongozi wengine wanaokuja baadaye katika Mkoa wa Mara.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kliniki hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt. Khalfan Haule ameeleza kuwa Manispaa ya Musoma inadaiwa fidia na wananchi waliotoa maeneo yao kwa ajili ya kujenga taasisi za umma kama vile shule na vituo vya kutolea huduma za afya.

“Kwa sasa Manispaa inadaiwa shilingi milioni 600 za fidia za ardhi na wananchi mbalimbali na imejipanga kuanza kulipa kwa awamu kuanzia mwaka huu wa fedha” alisema Mhe. Haule.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa pia na Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Mara, Meya wa Manispaa ya Musoma, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Musoma, Maafisa Ardhi kutoka Manispaa ya Musoma na Ofisi ya Kamishana wa Ardhi Mkoa wa Mara.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.