• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MTAMBI: Magambo aondoke Mikomaliro

Posted on: September 6th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi leo tarehe 5 Septemba, 2024 amefanya mkutano na wananchi wa Kijiji cha Mikomaliro katika Wilaya ya Bunda kusikiliza kero zao na kuamuru Bwana Magambo Makori mwenye shamba katika eneo linalogombaniwa aondoke katika eneo hilo.

Uamuzi huo umefikiwa baada ya Mkuu wa Mkoa kusikiliza hoja za wananchi wa eneo hilo akiwa ameambatana na Kamati ya Usalama ya Mkoa na Wilaya ya Bunda pamoja na Maafisa kutoka Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Mara.

“Ninaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Bunda na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara kusimamia zoezi la kuhakikisha Bwana Magambo anahama katika eneo hilo ili kumaliza mgogod na wananchi hawa” amesema Mhe. Mtambi.

Aidha, Mhe. Mtambi amemtaka Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara kuwakamata watu wanaosadikiwa kuwa  sio raia wa Tanzania waliopo katika shamba la Bwana Magambo mara moja ili wafikishwe katika vyombo vya sheria.

Mhe. Mtambi amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao katika eneo hilo na wakati Serikali ikiendelea kuangalia suluhisho la kudumu katika eneo hilo lenye mgogoro kati ya kijiji hicho na Kijiji cha Rwemgolori cha Wilaya ya Serengeti.

Kanali Mtambi amesema amekataa mapendekezo ya wataalamu kuwa eneo hilo lenye migogoro lichukuliwe na ianzishwe taasisi ya Serikali au lipewe jeshi kwa kuwa ameona wananchi wanalihitaji ndio maana wanaligombania.

Aidha, amewataka wananchi hao kuacha kutumia nguvu kubwa na ubabe katika eneo hili wakati suluhu ya kudumu ya mgogoro huo ili wananchi waendelee kufanya shughuli zao za maendeleo.

Awali, wananchi wa eneo hilo wameanzisha mgogoro na kugomea kuboresha taarifa zao katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wakiishinikiza Serikali kumuondoa Bwana Magambo Magori ambaye wanadai amevamia eneo lao lililotengwa na kijiji cha ajili ya malisho ya mifugo.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.