• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mtambi awataka wananchi kushiriki maadhimisho ya siku ya kupinga ukatili kwa wazee

Posted on: June 11th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo amezungumza na waandishi wa habari ofisini kwake na kutoa taarifa ya Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili dhidi ya Wazee ambayo kitaifa yatafanyika katika Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara tarehe 15 Juni, 2025.

“Ninaomba kuchukua fursa hii kuwakaribisha wananchi wote wa Mkoa wa Mara na Mikoa ya jirani kushiriki maadhimisho haya muhimu ambayo kitaifa yatafanyika katika Shule ya Msingi Miembeni, Halmashauri ya Mji wa Bunda” amesema Mhe. Mtambi.  

Mhe. Mtambi amesema mgeni rasmi katika maadhimisho haya atakuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dorothy Gwajima na kauli mbiu ya maadhimisho haya kwa mwaka 2024 ni “Utu, Usalama na Ustawi ni nyenzo ya Kutokomeza Vitendo vya Ukatili dhidi ya Wazee”

Mhe. Mtambi amesema kuwa maadhimisho haya yatatanguliwa na mashindano ya michezo baina ya wazee itakayofanyika tarehe 13 Juni, 2024 katika Chuo cha Ualimu Bunda, kongamano kuhusu masuala mbalimbali ya wazee litakalofanyika Chuo cha Ualimu Bunda na wazee kwenda kutembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwitongo, Butiama tarehe 14 Juni, 2024.

Aidha, kwa siku zote tatu (tarehe 13-15 Juni, 2024) kutakuwepo na upimaji wa afya bure na maonyesho mbalimbali ya shughuli za wazee na kilele cha maadhimisho hayo kitakuwa tarehe 15 Juni, 2024 katika viwanja vya Shule ya Msingi Miembeni.  

Kwa mujibu wa Mhe. Mtambi Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili dhidi ya Wazee yameanza kuazimishwa kimataifa mwaka 2011 baada ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio la kuzitaka nchi wanachama kuazimisha siku hiyo.

Mhe. Mtambi amesema malengo ya maadhimisho haya ni kutoa elimu, kubadili mitizamo ya jamii kuhusiana na wazee na kuzeeka na kuwasaidia wazee kupata sehemu ya kusemea kero zao zinazowakabili katika jamii.

Mhe. Mtambi amesema Mkoa wa Mara hauna matukio ya kuwanyanyasa wazee na maadhimisho haya yameletwa ili watu wa mikoa mingine wajifunze namna nzuri ya kuishi na kuwatumia wazee kwa ajili ya kutatua changamoto zinazowakabili.

Mhe. Mtanda amesema maandalizi kwa ajili ya maadhimisho hayo yamekamilika na kuwataka wananchi kujitokeza kupata elimu na kuwapeleka wazee kupima afya zao bure katika muda wote wa siku tatu za  maadhimisho hayo.  

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.