• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mkuu wa Mkoa ataka uwajibikaji

Posted on: January 25th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo amefanya kikao na wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mara na kuwataka wafanyakazi hao kuongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao.

Akizungumza katika kikao hicho, Mhe. Mtanda amewataka Wakuu wa Sehemu na Vitengo kufanya vikao na watumishi wanaowaongoza katika maeneo yao na kutenda haki katika maamuzi mbalimbali yenye maslahi kwa watumishi.

Mhe. Mtanda amewataka watumishi kuzingatia masuala ya uwajibikaji wa pamoja katika Sehemu, Vitengo na hata Sekretarieti nzima ya Mkoa wa Mara katika utekelezaji wa majukumu.

Amewataka wafanyakazi kujenga mahusiano na mawasiliano baina yao na baina yao na viongozi wa Serikali na wanasiasa ili kuweza kufanikiwa katika utekelezaj wa majukumu yao.

Ameitaka Menejimeti ya Sekretarieti ya Mkoa wa Mara kuandaa matukio ya kuwakutanisha watumishi nje ya ofisi ikiwa ni pamoja na ziara za watumishi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na maeneo mengine.

Mhe. Mtanda amewataka watumishi kuwa mabalozi wazuri wa namna Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hususan Serikali ya Awamu ya Sita inavyotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika Mkoa wa Mara.

Akizungumza katika kikao hicho, Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Msalika Robert Makungu amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuzungumza na wafanyakazi na kuahidi kutekeleza maagizo yake yote aliyoyatoa.

Bwana Makungu amemshukuru kwa kuwakumbusha wafanyakazi kuongeza uwajibikaji na weledi katika utendaji wao.

Katika hatua nyingine, leo Mkuu wa Mkoa pia amefanya kikao na Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya na Maafisa Tarafa wote wa Mkoa wa Mara katika ukumbi wa uwekezaji uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara.

 Aidha, Mkuu wa Mkoa ameongoza kikao cha Tathmini ya utendaji kazi Mkoa wa Mara kilichohudhuriwa na viongozi wa Wilaya ya Menejimenti ya Halmashauri zote za Mkoa wa Mara.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.