• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mara yawataka wananwake kutoa taarifa za Unyanyasaji wa Kijinsia

Posted on: March 6th, 2020

Uongozi wa Mkoa wa Mara umewataka wanawake wote wenye changamoto mbalimbali za ukatili wa kijinsia kutoa taarifa kwa mamlaka na vyombo vya dola bila kujali makundi yanayowatishia kutoa taarifa ili kukomesha vitendo hivyo.

Hayo yameelezwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara Dkt. Vincent Naano katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Manispaa ya Musoma yaliyofanyika katika Viwanja vya Mukendo, Musoma mjini tarehe 5 Machi 2020.

“Tunaelewa kuna watu wanawatishia msitoe taarifa, lakini nyie fikeni ofisi zote wa Wakuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa na vyombo vya ulinzi na usalama ili kutoa taarifa na serikali ya Mkoa itashughulikia masuala yote ya unyanyasaji wa kijinsia ili kuhakikisha mnapata haki zenu”  alisema Dkt. Naano.

Amesema kuwa pamoja na kuwa Mkoa umepiga hatua za kimaendeleo lakini kwa kiasi fulani bado Mkoa unachangamoto ya matatizo ya unyanyasaji wa kijinsia na mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanaowanyanyasa wanawake ikiwa ni pamoja na kuwazuia wanawake kufanyazi na kumiliki mali.  

Wakati huo huo, mgeni rasmi wa sherehe hizo Mheshimiwa Gaudensia Kabaka, Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Tanzania (CWT) amewahimiza wanawake wote kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali ili kujiletea maendeleo wao wenyewe, familia zao na taifa kwa ujumla. 

Aidha amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. “Wanawake wote wenye uwezo mchukue fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa mwaka 2020” alisema Mheshimiwa Kabaka. 

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa MKoa wa Mara, Bibi Karolina Mthapula amemshukuru sana mgeni rasmi kwa kukubali kuja katika hafla ya Siku ya Wanawake Duniani katika Manispaa ya Musoma.

Amewataka wanawake wote wachangamkie fursa mbalimbali zinazojitokeza kwa ajili ya kuongeza vipato vya familia zao na jamii kwa ujumla.  

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • RC atoa siku 14 wanafunzi wote Sekondari ya J. K. Nyerere wapate chakula shuleni

    July 28, 2025
  • Kusaya apokea ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Butiama

    July 25, 2025
  • Mtambi ataka matumizi ya GOTHOMIS kwa asilimia 100 Mara

    July 25, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.