• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mara yawataka wananchi kushiriki uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Posted on: September 3rd, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Gerald Musabila Kusaya leo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi ametoa taarifa ya maandalizi ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakalofanyika Katika Mkoa wa Mara tarehe 4-10 Septemba, 2024.  

“Ninawaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ili kutumia haki ya kikatiba kuweza kushiriki katika kuchagua viongozi katika chaguzi zijazo” amesema Bwana Kusaya.  

Bwana Kusaya amesema maandalizi yote ya zoezi hili yamekamilika na tayari vifaa vya kuandikishia tayari vimeshasambazwa katika vituo vya 1,597 vitakavyotumika katika Mkoa wa Mara vilivyopo katika majengo ya umma katika vituo maeneo yaliyotumika katika uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mwaka 2019/2020. 

Bwana Kusaya amesema katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura vituo vya kujiandikishia vitafunguliwa kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa 12.00 jioni kwa siku zote saba na kauli mbiu yam waka huu ni “Kujiandikisha kuwa mpiga kura ni Msingi wa Uchaguzi Bora”.

Bwana Kusaya amesema zoezi hili litawahusisha watu wanaojiandikisha kwa mara ya kwanza ambaye anatakiwa kuwa ni raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ambaye hakuwa kujiandikisha hapo awali na atakayetimiza miaka 18 ifikapo tarehe ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Aidha, zoezi litawahusisha wananchi wanaoboresha taarifa zaa ambao wamehama eneo la awali alipojiandikishia, taarifa zake za awali zilikosewa na au amepoteza au kadi yake kuharibika na mwananchi aliyepoteza sifa za kuwemo katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mfano mtu aliyefariki.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.