• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mara yajipanga kurahisisha watalii kuingia Serengeti

Posted on: November 5th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi leo tarehe 22 Oktoba 2021 amezungumzia namna Mkoa wa Mara unavyojipanga katika kuwarahisishia watalii wa ndani na nje ya nchi kuingia katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mheshimiwa Hapi ametoa pongezi hizo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuzungumzia ushindi wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kama hifadhi bora ya Afrika kwa mwaka wa tatu mfulilizo. 

“Serikali kwa sasa inaendelea kuupanua Uwanja wa Ndege wa Musoma ili ndege za abiria ziweze kutua, aidha mchakato wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mugumu unaendelea ili ndege nyingine ziweze kutua katika uwanja huo” alisema Mheshimiwa Hapi.

Mheshimiwa Hapi ameeleza kuwa lengo la kuimarisha viwanja vya ndege nje ya hifadhi ni kwa ajili ya kupunguza ndege zinazotua hifadhini aidha kuruhusu ndege za abiria kuweza kutua karibu kabisa na hifadhi ili kuwavutia watalii wa kipato cha kati na cha chini kutoka ndani na nje ya nchi.  

Aidha Mheshimiwa Hapi amezungumzia pia barabara za kuingia katika Wilaya ya Serengeti zinaendelea kujengwa kwa kiwango cha lami na hivi vyote vikikamilika itawarahisishia watalii kuingia na kutoka Serengeti.

“Tunafahamu kuwa sio watalii wote ni matajiri, ndio maana serikali inataka kurahisisha usafiri wa kuingia katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ili kuvutia watalii wengi zaidi hususan wanafunzi, wastaafu na watu wenye uwezo wa kawaida” alisema Mheshimiwa Hapi.

Mheshimiwa Hapi ameeleza kuwa kutokana na uwekezaji huo wa serikali, wananchi wa Mkoa wa Mara wanatarajiwa kufaidika aaidi na fursa zitokanazo na utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kuliko ilivyo kwa hivi sasa ambapo watalii wengi wanapitia katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Aidha Mheshimiwa Hapi ameipongeza Hoteli ya Four Seasons Safari Lodge ambayo pia imepata ushindi katika tuzo hizo kama hoteli bora.

“Sisi kama Mkoa tunayo agenda kubwa ya kuendelea kuvitangaza vivutio vya utalii lakini pia kuifanya Tanzania na Dunia ijue kuwa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ni moja katika urithi mkubwa wa dunia ipo katika Mkoa wa Mara” alisema Mheshimiwa Hapi. 

Mheshiwa Hapi amempongeza pia Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kutangaza utalii wa Tanzania na pamoja na mkakati wake wa kitaifa wa kuhakikisha tunakuwa na filamu itakayoitangaza Tanzania kimataifa umeanza kuzaa matunda.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.