• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Mara yaimarisha Kituo cha Forodha Sirari

Posted on: May 26th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima amekagua Kituo cha Forodha Sirari leo tarehe 19 Mei 2020 na kusisitiza kuhusu maagizo aliyoyatoa awali kuhusiana na hatua mpya za kudhibiti ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona yaani COVID 19.

Mheshimiwa Malima ameeleza kuwa katika maelekezo aliyoyatoa magari na abiria wote kutoka katika nchi ya Kenya hawataruhusiwa kuingia Tanzania kwa sababu ya kudhibiti maambikizi ya Corona katika nchi hizi mbili.

“Kama nilivyoelekeza awali, maagizo yangu hayajabadilika, utaratibu wetu utaendelea kama kawaida hadi hapo nitakapoelekeza vinginevyo” alisema Mheshimiwa Malima.

Mheshimiwa Malima alisema kuwa ziara hiyo imekuja baada ya kupokea taarifa kuwa kuna magari ya Kenya matano yaliyoingia nchini kupitia mpaka huo kinyume na maagizo yake jambo ambalo amehakikisha kuwa halikuwa sahihi.

Msheshimiwa Malima amewakumbusha maafisa wa mpaka huo kuwa magari yote kutoka nchi ya Kenya yanaishia mpakani na anayehitaji mzigo uliobebwa ataufuata hapo ili kudhibiti maambukizi ya Corona.

Ameeleza kuwa tangu ugonjwa wa corona umeanza, Mkoa wote wa Mara umekuwa na wagonjwa watano ambao wote walitokea katika Mkoa wa Dar es Salaam na kati ya hao mmoja alifariki lakini wengine wanne wamepona na wanaendelea kufanya shughuli zao.

“Ninashangazwa majirani zetu wanaposema sisi ndio tunawaletea ugonjwa wa Corona jambo ambalo sio sahihi” alisema Malima.

Aidha alieleza kusikitishwa kwake na baadhi ya hatua zinazochukuliwa na nchi ya Kenya hususan kutangaza watanzania wenye Corona na kuamua kufunga mpaka jambo ambalo amesema huenda halijatazamwa vizuri.   

 Katika ziara hiyo Mheshimiwa Malima aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bibi Karolina Mthapula, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara, Mkuu wa Wilaya ya Tarime Eng. Mtemi Msafiri na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Tarime.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.