• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Malipo ya Fidia Nyatwali yanakaribia: Majaliwa

Posted on: February 26th, 2024

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb.) leo amefanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Shule ya Msingi Miembeni, Mji wa Bunda na kuwahakikishia wananchi wa Kata ya Nyatwali kuwa malipo ya fidia yatalipwa wakati wowote kuanzia sasa.

Mhe. Majaliwa ametoa kauli hiyo baada ya wabunge wa Mkoa wa Mara kwa nyakati tofauti kuulizia malipo hayo na kuiomba Serikali kuwalipa wananchi kwa haraka ili waweze kuendelea na shughuli zao za maendeleo katika maeneo mapya.

“Mazoezi ya tathmini ya kina na uhakiki wa tathmini iliyofanyika yamekamilika, kwa sasa wakati wowote wananchi wa Kata ya Nyatwali wanaweza kulipwa fidia zao” amesema Mhe. Majaliwa.

Ameeleza kuwa mpaka sasa Serikali haijapokea malalamiko yoyote kutoka kwa wananchi wa Kata ya Nyatwali kuhusu kupunjwa au baadhi ya mali zao halali kutothaminiwa katika zoezi la awali na hivyo ni matumaini yake kuwa hakutakuwa na mtu analalamika baada ya malipo ya fidia kutolewa kwa wananchi.  

Amewapongeza wananchi wa Nyatwali kwa kudai fidia yao kwa amani na utulivu na bila vurugu yoyote jambo ambalo amesema ni mfano wa kuigwa na wananchi wengine wenye migogoro ya fidia kama Nyatwali.  

Aidha, akiwa katika Mkutano huo Mhe. Majaliwa ameupongeza uongozi wa Mkoa wa Mara kwa mapokezi mazuri tangu alipowasili Mkoa wa Mara tarehe 25 Februari, 2024 kuanza ziara yake.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.