• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Hapi atoa siku 20 kukamilisha uthamini

Posted on: August 16th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi amewataka wathamini kutoka katika ofisi ya Mthamini Mkuu wa Serikali kukamilisha zoezi la uthamini wa ardhi katika eneo la Komelera ndani ya siku 20.

Mheshimiwa Hapi ametoa agizo hilo leo tarehe 12 Agosti 2021 wakati alipotembelea eneo hilo kujionea kazi ya tathmini ya maeneo ya wananchi yanayotarajiwa kuchukuliwa kwa ajili ya upanuzi wa Mgodi wa Dhahabu wa North Mara.

“Haiwezekani ninyi mnauwezo wa kufanya uthamini wa ekari 50 kwa siku moja lakini kazi mnayofanya sasa ni ekari tano kwa siku jambo ambalo linachelewesha uthamini huu kukamilika.

Mheshimiwa Hapi amewaagiza viongozi na watendaji wa Wilaya ya Tarime kutoa ushirikiano kwa wathamini hao ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na haraka.

Aidha amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Tarime/Rorya kuongeza ulinzi katika eneo la tathmini ili kuondoa vurugu yoyote wakati wa zoezi la tathmini katika eneo hilo.

Mheshimiwa Hapi amewaonya wananchi watakaofanya vurugu katika eneo hilo na kuchelewesha uthamini kuwa hawatavumiliwa kuvuruga zoezi hilo sheria itachukua mkondo wake.

Mheshimiwa ametoa tahadhari kuwa mwekezaji akiona anacheleweshwa kuendelea na mradi wake anaweza kutaka kuhamishia mgodi wake sehemu ambayo haina vurugu kama za Tarime maana maeneo yenye dhahabu yapo mengi hapa nchini.

Amewataka Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Vijiji kusimamia uthamini huo ili kutatua migogoro inayojitokeza ili wathamini waendelee na uthamini bila kubuguziwa na mtu yoyote.

Kwa upande wake Mthamini kutoka Ofisi ya Mthamini Mkuu wa Serikali Bwana Rashid Magetta ameeleza kuwa kwa sasa uthamini unafanywa na wataalamu 54 hata hivyo kazi hiyo haiendi kwa kasi inayotakiwa kutokana na changamoto mbalimbali.

Amezitaja changamoto hizo kuwa ni pamoja na wananchi kuendelea kupanda mazao wakati huu wa uthamini katika maeneo ambayo yanaendelea kuthaminishwa; migogoro ya wananchi kugombea ardhi; wananchi kuendelea kuuziana ardhi wakati huu wa uthamini na migogoro ya mipaka ya vijiji baina ya viongozi wa vijiji.

Amezitaja changamoto nyingine kuwa ni baadhi ya maeneo kuwa na hati na kuvamiwa na wavamizi ambao nao wanataka wathaminiwe wakati maeneo sio yakwao kiuhalali.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.