• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Hapi aongoza wanamara kumbukumbu ya Mashujaa

Posted on: July 29th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi leo tarehe 25 Julai, 2022 amewaongoza wananchi wa Mkoa wa Mara kufanya usafi, kuomba dua na kutoa heshima ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya mashujaa.

Kumbukumbu hiyo ilianza saa 12.00 asubuhi kwa kufanya usafi katika Soko la Saa Nane lililopo katika Manispaa ya Musoma ambapo Mheshimiwa Hapi aliwahamasisha wananchi kufanya usafi katika maeneo yao ili kuweza kudhibiti magonjwa yanayotokana na uchafu.

“Magonjwa yanayotokana na uchafu ni mengi na yanatumia gharama kubwa kuyatibu yasipodhibitiwa katika kufanya usafi vizuri katika maeneo tunayoishi” alisema Mheshimiwa Hapi.

Aidha, akiwa katika eneo hilo Mheshimiwa Hapi amezindua rasmi ghuba la kuwekea uchafu na kuiagiza Manispaa ya Musoma kuondoa dampo lisilo rasmi kwenye makazi ya watu katika Soko la Saa Nane na badala yake takataka zitupwe katika ghuba hilo.

Mheshimiwa Hapi pia alitumia fursa hiyo kuwahamasisha wananchi waliojitokeza kufanya usafi kushiriki katika Sensa ya Watu na Makazi kwa mwaka 2022 ambayo itafanyika hapa nchini tarehe 23 Agosti, 2022.

“Sensa hii itaiwezesha Serikali kujua idadi ya watu, mahitaji yao ya msingi na nini kifanyike katika kuwaletea maendeleo wananchi” alisema Mheshimiwa Hapi.

Baada ya usafi, msafara ukaelekea Parokia ya Kanisa Katoliki Rwamlimi ambapo kuna mnara wa kumbukumbu ya ndege ya kivita iliyoanguka katika eneo hilo wakati wa vita vya Kagera.

Katika eneo hilo, kulikuwa na dua kutoka kwa viongozi wa dini, gwaride la heshima pamoja na salamu kutoka kwa viongozi mbalimbali.

Akizungumza katika eneo hilo, Mheshimiwa Hapi amewataka wananchi kuwaenzi mashujaa wa Taifa letu kwa kutenda mazuri waliyokuwa wanayapigania na kudumisha umoja, amani na mshikamano wa Taifa.

Kumbukumbu ya Mashujaa kitaifa ilifanyika Kitaifa katika Mkoa wa Dodoma ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.