• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Zao la Pamba ni Ukombozi Mpya Mkoa wa Mara

Posted on: March 1st, 2018

Afisa  anayeshughulikia kilimo cha zao la pamba Mkoa wa Mara Eng. Okayo Mwita amewahimiza Maafisa Kilimo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kuhakikisha wakulima wanasaidiwa ili kuweza kufikika lengo la mavuno tulilojiwekea kama Mkoa. Eng.Okayo aliyasema hayo leo  wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa kulima zao la pamba katika Wilaya ya Rorya ikiwa ni agizo la Mhe.Kassimu Majaliwa(Mb)  Waziri Mkuu wa Tanzania kuwa Mikoa yote inayolima pamba kuhakikisha wakulima wanawezeshwa na kusaidiwa na wataalam wa kilimo.

''Ni lazima kuhakikisha wakulima wanapewa pembejeo zitakazotosheleza mahitaji yao ili tuweze kupata mavuno mengi na yenye tija kwa mkulima na Taifa kwa ujumla" alisema Eng. Okayo.

Naye Afisa Kilimo wa Wilaya ya Rorya ndugu Dominic Ndyetabura alisema kuwa wakulima wengi wameitikia wito wa Serikali wa Kulima zao la pamba na jumla ya hekari 366 ya zao la pamba zimelimwa katika Wilaya ya Rorya msimu huu wa Kilimo. "Ni jukumu letu kama maafisa Kilimo kuhakikisha wakulima wanapata pembejeo zote zinazohitajika japokuwa kuna changamoto za hapa na pale" alisema ndugu Dominic. 

Katika msimu huu wa kilimo Wilaya ya Rorya inatarajiwa kuvuna tani 366 .Hili ni ongezeko kubwa sana ukilinganisha na msimu uliopita.Kilimo cha zao la pamba ni mkombozi mpya kwa wakulima wa Mkoa wa Mara. Hili ni kutokana na mahitaji makubwa ya pamba na tayari wawekezaji wengi wameonesha nia ya kununua pamba msimu wa mavuno ujao. Kupitia zao hili wakulima wanaweza kujikwamua kutoka kwenye umasikini endapo watalima kwa bidii na kuendana na sera ya Tanzania ya  Viwanda kwa kuwa tayari Serikali iko tayari kuhakikisha kilimo hiki kinaleta faida kwa mkulima.

Zao la pamba ni muhimu kwa Tanzania ya Viwanda, tulime kukuza uchumi binafsi na taifa kwa ujumla.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa