• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TAMISEMI yawataka walimu kutimiza wajibu wao

Posted on: June 24th, 2024

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde leo (Juni 20, 2024) ameanza ziara ya siku tano katika Mkoa wa Mara na kuwataka walimu kutekeleza majukumu yao kwa upendo, umahiri na uwajibikaji.

Akizungumza katika kikao kazi na wasimamizi wa elimu katika Wilaya ya Bunda Dkt. Msonde amewataka walimu kuongeza juhudi katika ufundishaji kwa darasa la tatu kwa shule za msingi na kidato cha kwanza kwa kuwa ndio madarasa ya ujuzi na umahiri ambayo kwa siku za hivi karibuni yamekuwa hayapewi kipaumbele katika ufundishaji.

“Tunajua walimu mmekuwa mnatumia nguvu kubwa sana kuwalazimisha watoto waelewe kwa haraka wakiwa darasa la nne na kidato cha pili wakati wakiwa katika madarasa ya nyuma walimu mliacha kuwaandaa” amesema Dkt. Msonde.

Amewataka walimu kutoa mwongozo mzuri kwa wanafunzi wa Kidato cha Kwanza kupenda kujifunza na kuzungumza lugha ya kiingereza, na kuwataka walimu kuacha kuzungumza Kiswahili katika masomo ambayo sio ya Kiswahili kwa shule za Sekondari.

Dkt. Msonde amesema Serikali imeendelea kushughulikia changamoto za walimu ikiwemo upandishaji wa madaraja na kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi na kuzitaka Halmashauri kuwasilisha madai yote ya walimu Serikalini ili yaweze kulipwa kwa wakati.

Kwa upande wake, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Elimu Bwana Ayoub Mbilinyi Sektretarieti ya Mkoa wa Mara amemkaribisha na kummshukuru Dkt. Msonde kwa kufanya ziara katika Mkoa wa Mara na kuzungumza na wasimamizi wa Elimu katika Mkoa wa Mara.

Bwana Mbilinyi amemhakikishia Dkt. Msonde kuwa Sekretarieti ya Mkoa umeyachukua maelekezo yote ya Naibu Katibu Mkuu na inaenda kuyafanyia kazi ili kuleta mabadiliko chanya katika maendeleo ya elimu katika Mkoa wa Mara.

 Kikao kazi hicho kilihudhuriwa na Maafisa Elimu kutoka ngazi ya Mkoa, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na Halmashauri ya Mji wa Bunda, Maafisa Elimu Kata na  Wakuu wa Shule za Sekondari na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi kutoka Halmashauri zote mbili za Wilaya ya Bunda.   

Dkt. Msonde kesho anatarajiwa kuendelea na ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti,  Mkoa wa Mara.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa