• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mtanda aanza ziara kukagua miradi

Posted on: September 19th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo ameanza ziara katika Mkoa wa Mara kukagua miradi inayotekelezwa katika sekta za Elimu na Afya na kuwataka wafanyakazi na wananchi kufanyakazi kwa bidii.

Mhe. Mtanda ametoa kauli hiyo katika miradi mbalimbali aliyoitembelea katika Manispaa ya Musoma ambapo amesema bila kujituma katika kufanya kazi kwa bidii hamna mafanikio.

“Vitabu vyote vya dini vinahimiza watu kujituma katika kufanyakazi, rai yangu tufanyekazi kwa bidii na maarifa ili hata ukikosa mafanikio, juhudi yako katika kazi itaonekana” amesema Mhe. Mtanda.

Mheshimiwa Mtanda amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Musoma kukamilisha ujenzi wa miradi ya elimu kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma katika miradi hiyo.

Aidha, baada ya kupewa taarifa za changamoto mbalimbali zinazoikabili Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Mhe. Mtanda ameahidi kufuatilia suala la upatikanaji wa umeme wa uhakika na ukamilishaji wa ujenzi wa hospitali hiyo Wizara ya Afya.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa ametembelea mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu (two in one) katika Shule ya Sekondari Kigera Mwinyale, ujenzi wa vyumba vya madarasa na mabweni katika Shule ya Sekondari ya Ufundi Musoma, ujenzi wa shule mpya katika eneo la Bweri Bukoba.

Aidha, katika ziara hiyo amekagua, kupanda miti na kuzungumza na wafanyakazi na wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (Kwangwa).

 Kesho Mkuu wa Mkoa ataendelea na ziara yake katika Wilaya ya Bunda ambapo atatembelea shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mara, Shule ya Sekondari ya Kasuguti, Shule ya Sekondari ya Mariwanda na Shule ya Sekondari ya Bunda Mjini.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa