• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mara ampongeza mwekezaji wa Mara Mining Investment

Posted on: September 13th, 2022

RC AMPONGEZA MWEKEZAJI MARA MINING INVESTMENT

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee leo ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Mara Miningi Investment katika Kijiji cha Kerende, eneo la Nyamongo katika Wilaya ya Tarime na kumpongeza mmiliki wa mgodi huo kwa kufanya uwekezaji mkubwa.

Akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua migodi katika mgodi huo, Mheshimiwa Mzee amempongeza mmiliki wa mgodi huo kwa uthubutu katika uwekezaji.

“Ninakupongeza sana kwa uwekezaji unaoufanya na kuweza kutoa kodi kwa serikali na ajira kwa watanzania na maendeleo katika eneo hili” alisema Mheshimiwa Mzee.

Aidha, akiwa katika eneo hilo Mkuu wa Mkoa alipokea taarifa za maendeleo ya mgodi huo na kukagua shughuli za mgodi.   

Akitoa taarifa ya mgodi huo, Mkurugenzi Mkuu wa mgodi huo Bwana Josephat Muniko Mwita ameeleza kuwa uchimbaji wa madini katika mgodi huo ulianza tangu mwaka 1937 na umekuwa ukifanywa na wamiliki tofauti watano.

Bwana Mwita ameeleza kuwa aliununua mgodi huo baada ya kupata ruzuku kutoka serikalini mwaka 2007 na tangia hapo amekuwa akiendelea na shughuli za uchimbaji mpaka sasa

Bwana Mwita ameeleza kuwa kwa sasa mgodi huo umeajiri wafanyakazi 150 wenye ajira za kudumu na ajira za muda na ameshachangia pato la taifa zaidi ya shilingi milioni 500 kama kodi na ushuru wa huduma na kupanda miti 10,000 katika eneo la mgodi huo.

Aidha, Bwana Mwita ambaye pia ni mmiliki wa mgodi huo ameeleza kuwa mgodi huo umekuwa ukipokea wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo ya uchimbaji madini kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini.

Bwana Mwita ameeleza kuwa pamoja na mafanikio mbalimbali waliyoyapata mgodi huo unakabiliwa na changamoto ya mtaji wa kupanua zaidi shughuli zao, wananchi kutegesha karibu na eneo la mgodi ili walipwe fidia na gharama kubwa za kukodi vifaa vya utafiti. 

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Mara aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Tarime, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mara na maafisa wengine kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Halmashauri ya Wilaya ya Tarime na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mara.   

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa