• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC azindua Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara

Posted on: April 19th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi leo tarehe 19 Aprili 2022 amezindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara.

Akizundua Bodi hiyo, Mheshimiwa Hapi amewataka wajumbe wa bodi hiyo kuwatendea haki wananchi kwa kutoa ushauri mzuri kuhusiana na usimamizi na uendeshaji wa hospitali hiyo kwa Menejimenti ya Hospitali na kwa Serikali.

“Katika hospitali zetu, kuna tatizo la udhibiti mbovu wa dawa na hivyo kusababisha wizi wa dawa katika hospitali nyingi za umma, ninaomba mkalisimamie ili lisitokee katika Mkoa wa Mara na kama lilikuwepo basi liwe historia” alisema Mheshimiwa Hapi.

Aidha ameitaka bodi hiyo kusimamia mapato na matumizi ya Hospitali hiyo na kuhakikisha kuwa mapato yote yanakusanywa kupitia mfumo wa mapato ya hospitali (GoTHOMIS) wakati wote wa kutoa huduma za hospitali.

Mheshimiwa Hapi ameagiza bodi hiyo kusimamia ujenzi unaoendelea katika hospitali hiyo ili ukamilike na hospitali hiyo iweze kuhamia katika eneo la Kwangwa.

Mkuu wa Mkoa ameiahidi bodi hiyo ushirikiano kutoka kwa viongozi wote wa Mkoa wa Mara katika kutekeleza majukumu yao.  

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi hiyo Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma, Michael Msoganzila amewataka wajumbe kushirikiana katika kutimiza majukumu ya bodi hiyo.

Bwana Mloganzila amewapongeza wajumbe wapya kwa kuteuliwa na wale waliomaliza muda wao kwa kazi nzuri waliyoifanya wakati wote wakiwa wajumbe wa bodi hiyo.

Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara ina wajumbe 11 ambao wanatoka katika taasisi mbalimbali na wenye utaalamu mbalimbali na wanaoteuliwa kwa muda wa miaka mitatu mitatu.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mtambi aipongeza Bunda TC kwa hati safi miaka mitano mfululizo

    June 13, 2025
  • Mtambi aitaka Bunda DC kuwasilisha Mkakati wa kukusanya milioni 700

    June 13, 2025
  • Mtambi aipongeza Halmashauri ya Rorya

    June 12, 2025
  • Mtambi awataka wanawake kugombea nafasi za uongozi

    June 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa