• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC awapongeza NUMET kwa kuwatetea wafanyakazi

Posted on: October 16th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara leo tarehe 11 Septemba, 2022 amekutana na Viongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Migodini na Nishati (NUMET) ambao wamemtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha na kuwapongeza kwa namna wanavyopigania maslahi ya wafayakazi wa sekta ya madini na nishati hapa nchini.

“Kazi mnayoifanya ni kubwa sana na niwaombe muendelee kuifanya ili kuwatetea wafanyakazi katika migodi mbalimbali iliyopo hapa nchini” alisema Mheshimiwa Mzee.

Mheshimiwa Mzee amewataka viongozi hao kutoa ushirikiano kwa Serikali wakati wa kutekeleza majukumu yao ili kuiwezesha serikali kuchukua hatua stakihi kama kuna tatizo.

Amewahakikishia viongozi hao ushirikiano kutoka kwa viongozi wote wa Mkoa wa Mara katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia haki za wafanyakazi katika sehemu zao za kazi.

Akizungumza baada ya mazungumzo hayo, Katibu Mkuu wa NUMET Bwana Nicomedes Kajungu ameeleza kuwa wamefurahi kupata fursa ya kukutana na Mkuu wa Mkoa na kuweza kuwasilisha changamoto mbalimbali wanazokutana nazo kutoka kwa wafanyakazi.

Bwana Kajungu ameeleza kuwa NUMET ilianzishwa mwaka 2013 na mpaka sasa ina wanachama 4,339 kutoka katika matawi 37 nchi nzima yakiwemo matawi 10 kutoka Mkoa wa Mara.

NUMET ameeleza kuwa kwa sasa NUMET imeshawafikia wafanyakazi katika migodi yote mikubwa hapa nchini na kufanikiwa kunusuru ajira za wafanyakazi zaidi ya 1,000 kwa kushirikiana na Mamlaka ya Ushuluhishi wa Migogoro mahali pakazi (CMA).

Bwana Kajungu ameeleza kuwa NUMET imeendelea kuzifanyia kazi changamoto mbalimbali walizozibaini ikiwa ni pamoja na mikataba ya muda mfupi isiyokidhi matakwa ya sheria; baadhi ya waajiri kutolipa masaa ya ziada; na baadhi ya waajiri kutowasilisha michango ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Amesema changamoto nyingine kuwa ni waajiri kutokulipa mshahara wakati watumishi wakiwa likizo, malipo ya mshahara kinyume na kima cha chini cha mshahara; ukosefu wa vifaa vya usalama; wafanyakazi kutopewa huduma za msingi; ukiukwaji wa haki za vyama; na ucheleweshaji wa kanuni za usimamizi wa sheria.

Aidha, Bwana Kajungu amezitaja changamoto nyingine kuwa ni manyanyaso ya vipigo na udhalilishaji; malipo ya kima cha chini yasiyokidhi mahitaji ya msingi kwa wafanyakazi.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa