• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC aipokea KAmati ya Bunge ya Nishati na Madini

Posted on: February 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda ameipokea na kuzungumza na Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini iliyopo katika ziara ya kikazi katika Mkoa wa Mara.

Akizungumza katika mkutano huo, Mhe. Mtanda ameleza kuwa Mkoa wa Mara unazalisha madini mengi na ni Mkoa wa Pili Tanzania katika uzalishaji wa dhahabu.

“Tuna migodi kila wilaya ya wachimbaji wa kati na wachimbaji wadogo na uchumi wa Mkoa unategemea kwa kiwango kikubwa shughuli za uchimbaji wa madini na utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti” amesema Mhe. Mtanda.

Mhe. Mtanda ameiomba Wizara kuangalia uwezekano wa kuileta Kamati hiyo wakati mwingine kutembelea migodi ya wachimbaji wadogo ili kuweza kupata picha halisi za uchimbaji wa madini na changamoto za wachimbaji wadogo wa madini katika Mkoa wa Mara.  

Aidha, Mhe. Mtanda ameipongeza ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mara kwa ushirikiano anaoutoa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara na viongozi wengine katika utekelezaji wa majukumu yake.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. David Mathayo David, ambaye pia ni mbunge wa Same Magharibi, ameshukuru kwa mapokezi mazuri ya kamati na kuahidi kuutembelea tena Mkoa wa Mara wakati mwingine.

Mhe. Mathayo ameeleza kuwa lengo la ziara hiyo ni kutembelea Mgodi wa Dhahabu wa North Mara uliopo katika eneo la Nyamongo, Wilaya ya Tarime.  

Kamati hiyo imeambatana na Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa, Maafisa wa Wizara ya Madini na maafisa kutoka Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.   

Viongozi wengine waliokuwepo katika mapokezi hayo ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara na Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Mara.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa