• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC afanya ziara Wilaya ya Bunda

Posted on: August 18th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee leo tarehe 17 Agosti, 2022 ametembelea katika wilaya ya Bunda katika mwendelezo wa ziara yake ya kujitambulisha.

Akiwa Bunda, ameiagiza Halmashauri ya Mji wa Bunda kuhakikisha kuwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji inayoanza kujengwa sasa isimamiwe vizuri kwa kufuata matakwa ya kiuhandisi na kwa ubora ili iweze kuwa ya mfano.

“Ninataka hospitali hii niifuatilie, ikidhi matakwa yote ya kiuhandisi na ubora na ikamilike kwa wakati ili tupate miradi ya mfano katika Mkoa wa Mara” alisema Mheshimiwa Mzee.

Aidha, Mheshimiwa Mzee ameaigiza Halmshauri ya Mji wa Bunda kupanda miti kulingana na mpango wa matumizi ya ardhi wa eneo hilo, kusawazisha eneo hilo na kuhakikisha mahitaji yote ya kiutaalamu ya eneo la ujenzi yapo.

Mheshimiwa Mzee amewaagiza viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Mji wa Bunda kufuatilia hatua zote za utekelezaji wa mradi huo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bwana Emmanuel Mkongo ameeleza kuwa ujenzi wa mradi huo ulianza Juni, 2022 hata hivyo baadaye waligundua tofali zilikuwa chini ya kiwango na kuanza ujenzi upya.

Bwana Mkongo ameeleza kuwa ujenzi huo umepangwa kukamilishwa ndani ya miezi minne na kwa sasa vifaa vyote vya ujenzi wa mradi huo vimeshanunuliwa.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa alitembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bunda Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Mkuu wa Mkoa aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa Bwana Msalika Robert Makungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Bunda, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Afya Dkt. Juma Mfanga, viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Bund ana Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mtambi aipongeza Bunda TC kwa hati safi miaka mitano mfululizo

    June 13, 2025
  • Mtambi aitaka Bunda DC kuwasilisha Mkakati wa kukusanya milioni 700

    June 13, 2025
  • Mtambi aipongeza Halmashauri ya Rorya

    June 12, 2025
  • Mtambi awataka wanawake kugombea nafasi za uongozi

    June 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa