• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAS awataka wananchi kutoa ushirikiano kwa watafiti

Posted on: December 19th, 2023

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Msalika Robert Makungu leo tarehe 9 Desemba, 2023 ametoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu utafiti unaoendelea katika Mkoa wa Mara wa kukusanya taarifa za shughuli za Kijamii na Kiuchumi wa mwaka 2023/24 unaofanywa na Serikali katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

“Niwaombe wananchi wote wa Mkoa wa Mara kutoa ushirikiano kwa utafiti unaoendelea ili Serikali iweze kupata taarifa sahihi zitakazoiwezesha Serikali kupata taarifa sahihi kwa ajili ya kufanya maamuzi na kutunga sera sahihi kwa maendeleo ya nchi yetu” amesema Bwana Makungu.

Bwana Makungu ameeleza kuwa utafiti huo unafanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa kushirikiana na Wizara ya Biashara na Viwanda na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na unafanyika katika mikoa yote kwa siku 90 kuanzia tarehe 6 Desemba, 2023.

“Taarifa za takwimu zinazokusanywa ni siri kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu sura ya 351 na zinatumika kwa malengo mahususi ikiwa ni pamoja na maandalizi ya sera na kufanya maamuzi kwa maendeleo ya Taifa” amesema Bwana Makungu.  

Kwa mujibu wa Bwana Makungu, matokeo ya utafiti huu yatawezesha kufanyika kwa uchambuzi wa kina wa hali ya kiuchumi, kupima tija katika uzalishaji na kufanya tathmini ya mwenendo wa uchumi  wa Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Baadhi ya maswali yatakayoulizwa na wadadisi wa utafiti huo ni pamoja na jina la shughuli, mahali ilipo, anuani ya posta, namna za simu, uhalali wa umiliki, mwaka shughuli ilipoanza kufanya kazi, usajiri wa shughuli husika, idadi ya watumishi, jumla ya mapato kwa mwaka.

Bwana Makungu ameeleza kuwa utafiti huu utafanyika kwa kuwatumia wadadisi kwenye maeneo ya vijijini na mijini ambao watakuwa na vitambulisho vya Ofisi ya Taifa ya Takwimu.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa