• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mtambi awataka wanamara kuishangilia Biashara United kesho

Posted on: June 11th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo ametembelea kambi ya mazoezi ya Timu ya Biashara United na kuwataka wananchi wa Mkoa wa Mara kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu hiyo itakapokuwa inacheza na timu ya Tabora United tarehe 12 Juni, 2024 katika Uwanja wa Karume, Manispaa ya Musoma.

“Baada ya kuangalia mazoezi yao ninaamini kesho watafanya vizuri, wageni wategemee bakuri la kichuri…..Ninawaomba wananchi tujitokeze kwa wingi kuishangilia timu yetu uwanjani wakati inatoa dozi za kichuri kwa wapinzani wao” amesema Mhe. Mtambi.

Mhe. Mtambi ameipongeza timu hiyo kwa maandalizi mazuri ya mchezo huo na kuwataka wachezaji kucheza vizuri na kuifunga timu ya Tabora United na kuwaahidi kuwa atakuwepo uwanjani kuangalia michuano hiyo.

Amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu hiyo ili iingie kwenye michuano ya ligi kuu na kuweza kuzileta timu kubwa kucheza katika Uwanja wa Karume jambo ambalo litaibua fursa mbalimbali za kijamii na kibiashara katika Mkoa wa Mara.

“Nikiwaangalia hawa wachezaji ninauona ushindi mkubwa kesho, wananchi mje uwanjani muone timu yetu ikitoa kichuri kwa Tabora United na timu zote zitakazokuja kucheza michezo yake katika Uwanja wa Karume” amesema Mhe. Mtambi.

Kwa upande wake, Kocha ya Timu ya Biashara United Bwana Amani Josia amemshukuru sana Mkuu wa Mkoa kwa kuja kuitembelea kambi yao na kuwatia moyo wachezaji wa timu hiyo kabla ya mechi hiyo muhimu kwa timu yao.

Bwana Josia amesema wanategemea upinzani kuwa mkubwa kwa sababu timu pinzani inatoka ligi daraja la kwanza na kwa kupoteza mechi hiyo itakuwa haiwezi kucheza tena ligi kuu katika msimu ujao wa ligi.

Bwana Josia amesema wachezaji wa Biashara United wanajitoa kuhakikisha ushindi unapatikana katika mechi hiyo na mechi ya marudio ambayo inatarajiwa kuchezwa hivi karibuni.   

Mechi ya Biashara United na Tabora United mechi ya mchujo (play offs) katika Ligi Kuu ya NBC ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuamua timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania kwa msimu ujao na mchezo wa marudio baina ya timu hizi mbili unatarajiwa kufanyika tarehe 19 Juni, 2024.

 Timu ya Biashara United inapambana kuwania kucheza ligi kuu baada ya kupita kwenye mchujo wa ligi ya Championship na kuwa miungoni mwa washindi wa ligi hiyo kutokana na kuwa na wachezaji ambao wameshawahi kucheza kwenye ligi kuu katika misimu iliyopita.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa