• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yajiandaa kujenga nyumba ya kupumzikia viongozi

Posted on: February 19th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Gerald Musabila Kusaya leo ameiongoza Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara kukagua eneo lilalotarajiwa kujengwa nyumba ya kupumzikia viongozi (rest house) katika eneo la Bweri, Manispaa ya Musoma.

Akizungumza baada ya kupokea maelezo ya wataalamu na kukagua eneo hilo, Bwana Kusaya amewataka wataalamu wanaohusika na ujenzi wa mradi huo kuyachukua maoni yaliyotolewa na Kamati ya Usalama wa Mkoa na kuyafayia kazi kwa haraka.

“Maoni yaliyotolewa na viongozi hapa na yatakayotolewa baadaye yazingatiwe katika mchoro wakati  maeneo halisi majengo yatakayojegwa yanaangaliwa ili kuboresha mchoro uliopo sasa” amesema Bwana Kusaya.

Aidha, Bwana Kusaya amewataka wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Mkoa kuendelea kuifikiria michoro ya nyumba hiyo na kama watapata maoni zaidi ya kuboresha wayawasilishe kabla ya ujenzi wa kituo hicho haujaanza ili kuboresha mradi huo.

Kwa upande wake, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Miundombinu Mhandishi Richard Moshi amesema michoro ya majengo hayo imeandaliwa na wataalamu kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na itakuwa na miundombinu yote muhimu kwa ajili ya mahitaji ya sehemu za kupumzikia viongozi.

Mhandisi Moshi amesema ujenzi wa mradi huo unatarajiwa kuanza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2025/2026 na tayari maandalizi muhimu ya mradi huo yamefanyika ikiwa ni pamoja na kutenga bajeti na  kuandaa michoro na kufanya ukadiriaji majenzi ya mradi huo.  

Kwa upande wake, Msanifu Majengo kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Mara Arch. Celestine Kaitaba amesema majengo matano yanatarajiwa kujengwa katika nyumba hiyo ya kupumzikia viongozi.

Arch. Kaitaba amesema michoro ya majengo hayo imezingatia ramani za majengo ya kupumzikia viongozi pamoja na uhalisia wa eneo lenyewe la mradi.

Wakiwa katika eneo hilo pia Kamati ya Usalama imekagua Kituo cha Kulelea watoto cha Musoma na kujionea hali halisi ya kituo hicho kwa sasa.

Katika ziara hiyo Katibu Tawala Mkoa wa Mara ameambatana na Wajumbe wa Kamati ya Usalama Mkoa, Menejimenti ya Sekretarieti ya Mkoa wa Mara na baadhi ya watumishi kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Mara.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa