• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Malima aiagiza Serengeti kuwekeza kwenye Kilimo

Posted on: June 15th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima ameitaka halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kuongeza nguvu katika kilimo ili kupanua uwigo wa mapato ya ndani ya halmashauri hiyo.

Mheshimiwa Malima ametoa kauli hiyo wakati alipohudhuria kikao maalum cha Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2020.

“Halmashauri hii inauwezo mkubwa wa kuongeza mapato ya ndani kama itatoa kipaumbele katika kilimo cha mazao ya pamba, kahawa, miwa na mazao mengine” alisema Mheshimiwa Malima.

Alisema halmashauri hiyo ina maeneo mazuri na makubwa sana kwa kilimo cha mazao ya chakula na biashara lakini kilimo hakijajapewa kipaumbele katika uwekezaji na ufuatiliaji.

Mheshimiwa Malima alisema kuwa maeneo mengine yanayohitaji kipaumbele katika halmashauri hiyo ni pamoja na mifugo na misitu.

“Bahati nzuri halmashauri hii imebarikiwa vitu viti sana, mapato yake yalitakwa kuwa makubwa sana ukilinganisha na hali halisi iliyopo sasa” alisema Mheshimiwa Malima.

Kwa mujibu wa Mheshimiwa Malima kutegemea mapato yanayotokana na uwepo wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti pekee hakuwezi kuiinua halmashauri hiyo na wananchi wake wote kiuchumi.

Aidha amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji kuweza kuingia katika halmashauri hiyo. Akatolea mfano wa mwekezaji ambaye amejenga hoteli ya kisasa ambaye anaambiwa abomoe kwa sababu eneo hilo linataka kufanyiwa uwekezaji mwingine.

Wakati huo huo katika kikao hicho aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kisangula kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mheshimiwa Samson Riyoba ametangaza kukihama chama hicho na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti katika ukaguzi wa mwaka wa fedha 2018/2019 ilipata hati safi na ilikuwa na hoja za nyuma 37 na hoja mpya 27.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa