• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Usalama yafanya ukaguzi wa miradi Rorya

Posted on: July 16th, 2024

Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara inayoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo tarehe 15 Julai, 2024 imefanya ziara katika Wilaya ya Rorya kukagua miradi itakayotembelewa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2024.

Ikiwa katika Wilaya ya Rorya, kamati imetembelea mradi wa maji unaotekelezwa na Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) kwa kushirikiana na Maji Safi Group katika Kitongoji cha Sokolabolo, Kijiji cha Bukama Wilaya ya Rorya.

Aidha, Kamati imetembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa na vyoo 10 katika Shule ya Sekondari ya Bukama na ikiwa hapo, Kamati ilipata fursa ya kusikiliza nyimbo zenye ujumbe wa Mwenge wa Uhuru zilizoandaliwa na wanafunzi wa klabu ya Wapinga Rushwa katika shule hiyo.

Mradi mwingine ni mradi wa ujenzi wa vyoo katika Shule ya Msingi Ngasaro na Daraja la mto Ngasaro linalojengwa na Wakala wa Barabara za mijini na Vijijini (TARURA) na kutembelea mradi wa ukarabati wa Bohari ya Dawa katika Hospitali ya Teule ya Wilaya ya Rorya, Shirati inayomilikiwa na taasisi ya kidini kwa ubia na Serikali.  

Kamati iliitaka Halmashauri kutekeleza maagizo yote ya Kamati ya Wataalamu na Kamati ya Usalama ya Mkoa yaliyotolewa kuhusiana na miradi ya maendeleo na maandalizi ya Mbio za Mwenge katika Mkoa wa Mara.

Katika ziara hiyo, Kamati ya Usalama ya Mkoa iliambatana na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Rorya, baadhi ya wataalamu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara na maafisa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rorya na viongozi wa taasisi za umma na wasimamizi wa miradi iliyotembelewa.

 Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kupokelewa Mkoa wa Mara tarehe 26 Julai, 2024 na kukimbizwa katika Halmashauri zote tisa kabla ya kukabidhiwa Mkoa wa Simiyu tarehe 4 Agosti, 2024.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa