• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dkt. Nchimbi kuongoza maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano Mara

Posted on: April 21st, 2025

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo anaanza ziara ya siku tano katika Mkoa wa Mara katika maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar.

Ratiba iliyotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara inasema leo Mhe. Nchimbi anatarajiwa kupokelewa katika Wilaya ya Bunda mchana na baadaye kusalimia wananchi wa Wilaya ya Bunda katika eneo la Stendi ya Zamani, kabla ya kuendelea na safari ya kwenda Musoma.

Kesho tarehe 23 Aprili, 2025 ziara itaendelea katika Manispaa ya Musoma ambapo atakagua maendeleo ukarabati na upanuzi wa Uwanja wa Ndege Musoma na baadaye kukagua maendeleo ya ujenzi katika Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na kuzungumza na wananchi katika eneo hilo.

Aidha, Mhe. Dkt. Nchimbi atatembelea Ofisi za CCM Mkoa wa Mara na kukagua ukumbi wa mikutano wa CCM unaoendelea kujengwa katika eneo hilo na baadaye atafanya kikao cha ndani na Halmashauri Kuu iliyoboreshwa.

Tarehe 24 Aprili, 2025 Mhe. Nchimbi atatembelea Kampasi ya Oswald Mwang’ombe na kukagua ujenzi wa Kampasi Kuu ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere cha Kilimo na Teknolojia Butiama (MJUNUAT) na kutazuru kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na baadaye kuwasalimia wananchi wa Butiama katika eneo la Kiabakari.

Ratiba hiyo inaonyesha kuwa tarehe 25 Aprili, 2025 Balozi Nchimbi atafanya mkutano wa hadhara katika Mji wa Shirati katika Wilaya ya Rorya na baadaye atakagua ujenzi wa soko la kimkakati katika Mji wa Tarime na kufanya mkutano wa hadhara katika Mji wa Tarime.

Kwa tarehe 26 Aprili, 2025 Mhe. Nchimbi atakagua mradi wa maji Tarime- Rorya, atasalimia wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime njiani akielekea Serengeti, atafanya kikao cha ndani na kuhitimisha ziara hiyo kwa kufanya mkutano wa hadhara katika Mji wa Mugumu.

Katika ziara hiyo, Mhe. Nchimbi ataambatana na viongozi na Watendaji wa CCM na Serikali.

 Kauli mbiu ya miaka 61 ya Muungano ni “Muungano wetu ni Dhamana, heshima na tunu ya Taifa, Shiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025”.  

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa