• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CCM yapongeza ufaulu Sekondari ya Nyanduga

Posted on: July 26th, 2021

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Mara imeipongeza Shule ya Sekondari ya Nyanduga kutokana na ufaulu wa wanafunzi katika matokeo ya kidato cha sita mwaka 2021.

Akizungumza wakati wa kutembelea mradi wa maabara ya somo la biolojia katika shule hiyo, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mara Mheshimiwa Samweli Kiboye ameeleza kuwa shule hiyo imekuwa inafanya vizuri kwa muda mrefu na mara nyingi amekuwa akiwapatia zawadi kwa sababu ya ufaulu.

“Mimi kwa muda mrefu tangu nikiwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rorya nimekuwa nikiwapa ng’ombe na kilo 200 za mchele ili kuwahamasisha wanafunzi wafanye vizuri zaidi” alisema Mheshimiwa Kiboye.

Aidha ameipongeza shule hiyo kwa matokeo mazuri waliyoyapata na kuwahamasisha wanafunzi kukazana kusoma kwani walimu wa shule hiyo wanaonekana kuwa wapo vizuri katika ufundishaji.

Wakati huo huo Mheshimiwa Kiboye ametoa ng’ombe mmoja, mchele kilo 200 na maharage kilo 40 na kuahidi kukabidhi vitu hivyo tarehe 25 Julai 2021 asubuhi ili wanafunzi wa shule hiyo waweze kusherekea matokeo mazuri ya wenzao wa kidato cha sita.

Katika kuunga mkono sherehe hiyo Mbunge wa Rorya ameahidi kutoa Kuku 20, mbuzi watatu na kukamilisha darasa moja lililoanza kujengwa katika shule hiyo.

Aidha Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Rorya ameahidi kutoa mafuta ya kupikia  na maji katoni 50 kwa ajili ya sherehe hiyo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mara Ally Salum Hapi ameahidi kutoa shilingi 1,500,000 kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za ukamilishaji wa darasa hilo na kuahidi kuwa  Mkoa utatoa shilingi 100,000 kwa kila mwalimu wa shule hiyo aliyesababisha matokeo hayo.

Katika matokeo ya kidato cha sita Shule ya Sekondari ya Nyanduga ilipata ufaulu wa daraja la kwanza wanafunzi 20 daraja la pili wanafunzi 39 na daraja la tatu wanafunzi  watano huku kukiwa hamna daraja la nne na sifuri katika shule hiyo ambayo ni ya serikali.

Katika matokeo hayo Mkoa wa Mara ulifanya vizuri na kushika nafasi ya tatu kitaifa huku Shule ya Sekondari ya Natta ambayo ni ya serikali iliyopo katika Wilaya ya Serengeti ikishika nafasi ya kwanza kimkoa katika ufaulu na kuingia katika shule 20 bora kitaifa katika matokeo hayo.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa