• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Butiama yampongeza RC malipo ya Ushuru wa Huduma

Posted on: July 22nd, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama imempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi kwa kuiwezesha Halmashauri hiyo kupata ushuru wa huduma (service levy) kutoka kwa makampuni mbalimbali.

Akizungumza leo tarehe 15 Julai, 2022 katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Butiama Mheshimiwa Peter Wanzagi amesema kutokana na maagizo na maelekezo ya Mkuu wa Mkoa Halmashauri hiyo imefanikiwa kukusanya ushuru wa huduma kutoka kwa migodi ya madini, wakandarasi wa barabara na wachimbaji wadogo wa madini.

“Kwa mwaka 2021/2022 Halmshauri imekusanya makusanyo ya ndani ya kutosha kutokana na maelekezo yako ambayo uliyatoa awali na sasa Halmashauri inafaidia nayo. Alisema Mheshimiwa Wanzagi.

Aidha, madiwani wa Halmashauri hiyo walimpongeza Mheshimiwa Rais kwa kutoa fedha za kukamilisha jengo la ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Butiama iliyokuwa imesimama kwa muda mrefu na sasa linaendelea kukamilishwa.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Ally Salum Hapi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi katika ukaguzi wa CAG wa mwaka 2020/2021.

Aidha, ameielekeza Halmashauri hiyo kuongeza juhudi kwenye makusanyo ya mapato ya ndani, kubana matumizi na kupunguza hoja za CAG.

Mheshimiwa Hapi ameitaka Halmashauri hiyo kufunga mfumo wa kukusanya mapato katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya ili kuiwezesha Halmashauri kupata mapato zaidi katika eneo hilo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama Bibi Patricia Robi Kabaka ameeleza kuwa Halmashauri hiyo ilipata hati safi ya ukaguzi katika mwaka wa fedha 2020/2021.

Hata hiyo Bibi Kabaka ameeleza kuwa katika ukaguzi huo, Halmashauri ina jumla ya hoja 65 na kati ya hizo, hoja 47 ni za miaka ya nyuma na hoja 18 ni za mwaka 2020/2021.

 Bibi Kabaka ameeleza kuwa kati ya hoja hizo, hoja zilizofungwa 30, hoja zilizopo katika hatua mbalimbali za utekelezaji, hoja 03 hazijatekelezwa, hoja 01 imepitwa na wakati, hoja 04 zinajirudia.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa