• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mifugo

Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 Mkoa unakadiriwa kuwa na jumla ya ng’ombe 1,651,355, mbuzi 757,428, kondoo 402,492 na kuku wapatao 1,612,672. Idadi kubwa ya mifugo hiyo inapatikana maeneo ya vijijini ni Ng’ombe 93%, mbuzi 95.6%, kondoo 97.5% na kuku 92.1% na mifugo mingine ikipatikana maeneo ya mijini. Mkoa wa Mara kuna livestock units 676,160 ambazo zinahitaji eneo la malisho Hekta 1,081,857. Eneo lililopo kwa ajili ya malisho ya mifugo ni hekta 750,000 hivyo kuna upungufu wa maeneo ya malisho hekta 405,697. Hii ina maana kwamba mifugo iliyopo katika Mkoa wa Mara ni mingi ukilinganisha na eneo la malisho lililopo.

Mkoa una hekta 43,170 ambazo zimetengwa na kupimwa kwa ajili ya malisho (Rorya ha 5,400, Bunda ha 743.2, Butiama ha 320, Musoma ha 150, Tarime ha 4,800 na Serengeti ha 31,757). Uendelezaji wa nyanda za malisho unafanyika zaidi kwa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa ambao hutumia ufugaji wa ndani, kwa ng’ombe wa nyama uboreshaji unaenda taratibu kutokana na uchungaji huria. Mikakati ya kukabiliana na hali hii ni Serikali za Vijiji kuainisha matumizi bora ya Ardhi kwa kila Kijiji, kuendelea kuvuna mifugo na kuiuza minadani, kuboresha Koo safu za Mifugo, kuendelea kuelimisha wafugaji juu ya ufugaji wa ndani (zero grazing) pamoja na kutoa elimu ya ufugaji bora kwa wafugaji.

Kwa upande wa miundombinu ya mifugo Mkoa wa Mara una jumla ya Majosho 162 (64 mazima, 48 hayafanyi kazi, 43 yanahitaji ukarabati na 7 ni ya watu binafsi), Vibanio 82, Malambo 145 (135 mazima na 10 mabovu), Mabwawa 3, Minada 29, Vituo vya Afya ya Mifugo 33, Machinjio 28, Mashamba ya Mifugo 6, Vituo vya Kukusanyia Maziwa 22 na Matanki ya Kupozea Maziwa 3, Mabanda ya Ngozi 18, Holding Ground 1 na Mnada wa Upili 1. Uwepo wa miundombinu hii imesaidia katika kuongeza uzalishaji wa mazao yatokanayo na mifugo na hivyo kuboresha lishe na vipato vya wafugaji.

CHANGAMOTO

Pamoja na ustawi wa sekta ya Mifugo Mkoani bado kuna changamoto kadhaa zinazoathiri ukuaji na tija ya sekta hii ziwemo:-

  1. Uwepo wa magonjwa hatarishi ya mifugo ambayo yangeepukika kwa kuwepo wa kwa miundombinu bora na ya kutosha hususani majosho, madawa ya kuogeshea na madawa ya kinga na tiba mbalimbali.
  2. Kuendelea kumezwa kwa maeneo ya malisho katika jitihada za kupanua shughuli za kilimo na makazi.
  3. Malisho yasiyo bora. Kuenea kwa Jani Gugu –“Sporobolus Pyramidalis” katika Wilaya za Tarime, Serengeti, Musoma na Rorya na gugu vamizi aina ya “Chromoleana Oderata” maarufu kwa jina la “Amacha-bhongo” katika Wilaya za Serengeti, Tarime, Rorya, Butiama na Musoma Vijijini kumeleta changamoto.

 MIKAKATI YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO

Katika kukabiliana na changamoto mbalimbali, Mkoa umeweka mikakati ifuatayo:-

  1. Kutoa elimu pamoja na kuhamasisha wakulima kutumia miundombinu iliyopo ili kudhibiti magonjwa sambamba na kuhamasisha na kuelimisha vikundi kusimamia uogeshaji kwa kutumia miongozo iliyopo ili kupunguza migogoro kwenye vikundi vya wafugaji.
  2. Kutenga maeneo yatakayopandwa malisho bora na kutunzwa;
  3. Kuwa na Mipango ya matumizi bora ya Ardhi katika Vijiji; na
  4. Kuendelea Kushirikiana na Kituo cha Utafiti cha Mifugo – Mabuki katika mradi wa Utafiti juu ya Athari za Gugu vamizi aina ya Chromoleana oderata ulioanza Mwezi Novemba, 2015 kwa udhamini wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH).

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanali Mtambi ateta na viongozi wa NHIF

    August 05, 2025
  • Mtambi ataka maboresho utoaji wa mikopo ya asilimia 10

    August 06, 2025
  • Mtambi ataka Hamasa Mbio za Mwenge wa Uhuru

    August 06, 2025
  • Kilimo cha alizeti kinga dhidi ya uvamizi wa tembo- Mtambi

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa