• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MAlima awataka Nyamongo Kujiongeza

Posted on: May 6th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima amewataka wananchi wa eneo la Nyamongo wanaoishi jirani na mgodi wa Barrick North Mara kujiongeza kwa kuunda vikundi vya uzalishaji mali ili kujiletea maendeleo.

Mheshimiwa Malima alitoa kauli hiyo tarehe 5 Mei 2020 wakati akizungumza na wananchi wa Nyamongo kuhusiana na malipo ya fidia kwenye maeneo yao yatakayochukuliwa na Mgodi wa Barrick North Mara.

“Jipangeni sasa muanzishe vikundi vya uzalishaji mali maeneo yapo na masoko hapa tunayo ya uhakika kama tutazalisha kwa kufuata kanuni za kitaalamu” alisema Malima.

Aliwaambia wananchi kuuona mgodi wa Mgodi wa North Mara kama fursa ambayo Mungu aliiweka hapo na sio kama adau wanaehitaji kugombana nae kila wakati. Amewaahidi pia wakizalisha vitu vizuri ambavyo vinaweza kutumika mgodini yeye atawasaidia kuuomba mgodi ili uweze kununua ili kujikomboa kiuchumi.

“Mkizalisha hapa mayai, maziwa, nyama, vyakula vingine kwa wingi na kwa ubora, hawa (Mgodi wa North Mara) hawatanunua kutoka mbali wakati hapa vipo na sisi kama serikali tutahakikisha mnapata ninyi kwanza” Alisema Malima.

Aliwashauri watakaoanzisha vikundi kama watahitaji mtaji wa kuendeleza uzalishaji wao kuwasiliana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime ambaye anafedha za kuwezesha vikundi vya vijana, walemavu na wanawake katika shughuli za maendeleo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhandisi Mtemi Msafiri ameeleza kuwa Nyamongo ni eneo linalofaa sana kwa ajili ya uwekezaji mkubwa kwa sababu soko lipo.

“Mkakati wa Wilaya kwa sasa ni kuanzisha shughuli ya kilimo cha mpunga karibu na eneo hili na kuuzalisha kwa wingi ili tuweze kuwaomba wenzetu wa mgodi waununue” alisema Eng. Msafiri.

 Eneo la Nyamongo ni eneo linalozunguka Mgodi wa Barrick North Mara ambalo kwa muda mrefu wananchi wake walikuwa wanaruka ukuta na kuingia mgodini kuchukua mabaki ya mchanga katika mgodi huo kitu ambacho kimekuwa kikihatarisha maisha yao.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.