• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Maambukizi ya UKIMWI katika Wilaya ya Bunda yamepungua

Posted on: August 16th, 2025

Adeladius Makwega BUNDA MARA

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Aswege Enock Kaminyonge tarehe 15 Agosti, 2025 amesema kiwango cha maambukizi ya virusi vya HIV na UKIMWI katika Wilaya ya Bunda kimepungua kutoka asilimia 2.4 hadi asilimia 1.5 kutokana na jitahada za pamoja kwa ushirikiano thabiti, baina wa wananchi, wadau na Serikali ya inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mhe. Kaminyonge akizungumzia takwimu za upimaji wa magonjwa amesisitiza kuwa zoezi la upimaji wa VVU na UKIMWI kwa hiari katika Mbio za Mwenge wa uhuru linafanyika, hivyo basi mara baada ya Mwenge kwenda Halmashauri nyingine Halmashauri ya Mji wa Bunda itakuwa na takwimu juu ya muitikio wa wananchi katika zoezi hili.

Akizungumza akizungumza kwa nyakati tofauti, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Ndugu Ussi amesema ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kutekeleza miradi yenye ubora kwa kuzingatia vigezo vya Serikali na kuwataka wananchi wa Wilaya ya Bunda kutembea kifua mbele.

“Huo ubora wa miradi yenu, ndiyo shabaha ya serikali yetu, jamani endeleeni kufanya kazi kwa bidii” amesema Bwana Ussi.

Ndugu Ussi aamesisitiza suala la afya kwa kila Mtanzania kujitahidi kufuata kanuni na maelekezo ya wataalamu wa afya ili baada ya kuwa na afya bora wananchi wajikite kufanya kazi zao za maendeleo bila kikwazo chochote.

“Tujikinge na VVU na UKIMWI na ndiyo maana kumekuwa na semina na mafunzo kadhaa kwa shule 37 na pia kutoa elimu kwa kutumia video, senema na vipeperushi, huku kwa sasa kukiwa na mabanda ya kutoa ushauri wa afya ikiwamo upimaji magonjwa mbalimbali ”amesema Ndugu Ussi.

Akisoma Risala ya Utii Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katibu Tawala Wilaya ya Bunda Ndugu Salum Mtelela mbele ya Mwenge wa Uhuru, mara baada ya kufungua miradi 8 na kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2025, Ndugu Ismail Ali Ussi baada ya kuwasili katika Halmashauri hiyo.

Mbio hizo zilianza kukimbizwa mara baada ya Mwenge wa Uhuru kupokelewa na Katibu Tawala Mkoa wa Mara Ndugu Gerald Msabila Kusaya mapema leo Halmashauri ya Mji wa Bunda ukitokea Mkoani Simiyu.

Awali katika makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru baina ya Mkoa wa Mara na Simiyu, Katibu Tawala Mkoa wa Mara Ndugu Kusaya amewakaribisha wakimbiza Mwenge wa Uhuru katika Mkoa wa Mara maana Mara ndipo alipozaliwa muasisi wa Mwenge wa Uhuru na Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Katika Halmashauri ya Mji wa Bunda Miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni tatu katika sekta za elimu, afya, barabara, maji, mapambano dhidi ya rushwa na kituo cha mafuta cha NM imefunguliwa.

Announcements

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru Wapitisha miradi 68 ya bilioni 26.5 Mara

    August 23, 2025
  • RC Mtambi akutana na viongozi wa dini na kuwasistiza kuhamasisha amani

    August 22, 2025
  • Wananchi Rorya wahimizwa kutumia nishati safi ya kupikia

    August 19, 2025
  • Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa awasha Mwenge wa Mwitongo kwa mara ya 61

    August 18, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.