Kuna makundi mawili ya Leseni za Biashara, Kundi A na Kundi B. Leseni za Kundi A hutolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na Leseni za Kundi B hutolewa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri).
Masharti/mahitaji ya jumla kwa makundi yote ya Biashara (Kundi A na Kundi B).
NB: Hata hivyo katika Makundi yote ya Biashara Kundi A na Kundi B kuna aina mbili za Biashara, biashara za kitaalam na biashara za kawaida. Biashara za Kitaalamu kama Madawa, Sheria, uhandisi, kuendesha shule, zahanati, hospitali n.k zina masharti ya ziada kutegemea aina ya Biashara na Biashara za kawaida zinatumia masharti matano (5) hapo juu ili kupata leseni ya biashara.
Katibu Tawala Mkoa wa Mara
Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara
Telephone: +255282622305
Mobile:
Email: ras.mara@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.