Watumishi wote waliokusanya vyeti kwa ajili ya uhakiki (IV, VI na Ualimu) angalia jina lako katika orodha hapa chini. Kama jina lako halipo fika Ofisi Chumba Na.66/67 Utawala.
Mwisho wa zoezi hili ni Tarehe 31/05/2017. Kuangalia orodha hii bonyeza hapa.majina watumishi walio hakikiwa NECTA RS MARA.pdf
Katibu Tawala Mkoa wa Mara
Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara
Telephone: +255282622305
Mobile:
Email: ras.mara@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.