Posted on: May 18th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi leo amehudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Rorya na kukemea mivutano inayoendelea katika halmashauri hiyo baina ya madiwan...
Posted on: April 26th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Mara leo amewaongoza wananchi wa Wilaya ya Musoma kupanda miti 1,000 katika Shule ya Sekondari ya Kiara kama sehemu ya Maadhimisho ya miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
...
Posted on: April 26th, 2022
Serikali imeutaka Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara kulipa faini ya shilingi bilioni moja ndani ya siku 14 baada ya bomba lake la maji machafu kuachia na kutiririsha maji machafu karibu na...