• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Uandikishaji darasa la kwanza wafikia asilimia 90.3 Mara

Posted on: January 18th, 2024

Jumla ya wanafunzi 67,061 wa darasa la Kwanza sawa na asilimia 90.3 ya maoteo ya kupokea wanafunzi 74,224 wa kuanza darasa hilo wameandikishwa na kuanza masomo katika Mkoa wa Mara hadi kufikia tarehe 17 Januari, 2024.

Akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini leo kwake, Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda ameeleza kuwa kati ya walioandikishwa kuanza darasa la kwanza wavulana ni 33,319 na wavulana ni 33,742.

“Lakini pia kati ya wanafunzi wote walioandikishwa darasa la kwanza, wanafunzi 107 ni wenye mahitaji maalum na tayari wameanza masomo yao ”amesema Mhe. Mtanda.   

Mhe. Mtanda ameeleza kuwa jumla ya wanafunzi 65,076 wameandikishwa darasa la awali ambapo wavulana ni 32,499 na wasichana ni 32,577 sawa na asilimia 78.7 ya maoteo ya kuandikisha wanafunzi 82,679. Kati ya wanafunzi wote walioandikishwa awali, wanafunzi 111 ni wenye mahitaji maalum.   

Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa katika uandikishaji huo, jumla ya wanafunzi 503 wameandikishwa katika madarasa ya Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa (MEMKWA) ambapo wavulana ni 256 na wasichana ni 247.

Kwa upande wa kidato cha kwanza jumla ya wanafunzi 32,212 wameripoti shuleni sawa na asilimia 61.03 ya wanafunzi 52,782 waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2024 katika Mkoa wa Mara.

Mhe. Mtanda amewataka wazazi na walezi wenye watoto wanaotakiwa kuanza masomo kwa mwaka 2024 kuhakikisha wanawapeleka watoto wao shule kabla ya tarehe 31 Machi, 2024.

Aidha, Mhe. Mtanda amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali kuhakikisha wanafanya msako na kuwachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wote wenye watoto wanaotakiwa kuanza shule ambao hawajaandikishwa.

Taarifa ya Mkuu wa Mkoa ni mwendelezo wa ufuatiliaji na tathmini ya ukaguzi wa shughuli za elimu katika Mkoa wa Mara kuanzia tarehe 8 Januari, 2024 baada ya kuanza muhula mpya wa masomo kwa mwaka 2024.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa